niwashukuru sana wale ambao mmefuata steps nilizoweka na kufanikiwa kufikia hatua ya kuweka user name na pasword ambabaadhi niliweza kuwapatia username na paswd wakatumia net bila kikomo .kimsingi ni kwamba kuna option mbili katika haya mambo ya PDPROXY kuna option ya kwanza ambaunapewa freee MB...
Nimepita mitandaoni nikapata link iliyonifikisha katika kampuni hii ya social credit compani link ni hii hapa
SOCIAL CREDIT COMPANY
so nauliza hawa watu wanasema wanatoa mikopo ila kuna masuala ya kulipa ada ya tsh 38500/= na mambo kiba katika site yaooo ebu cheki halafu tulijadili hili
Nina wazo la kuwekeza katika cho kimoja hapa tanzania ambapo katika chuo hicho watu wengi hufuliwa nguo zao na wadada waliopo hapo chuoni sasa mimi nataka niwaajiri wafuaji hao ambapo nitaka kununua washing mashine ambayo nitaifunga katika site hiyo .
swali langu sasa napenda kama kuna mtu...
naweza wekeza kitu gani..nina kiasi cha shiling milion 1 na nusu nataka niwekeze katika chuo kikuu saut mwanza hapa choni kuna vitu vimewekezwa mfano stationary.duka la mahtajimadogo madogo,cafeteria,duka la mpesa ,kibanda cha juice n.k ni vitu gan vingine naweza wekeza kwa pesaa hiyo?
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi mbungani mwanza nina kiasi cha shilingi laki nne na nusu sasa naomba wana JF mnipe mawazo kitu hata kama ni chA kawaida nawezaje zalisha na kuanzisha kibiashara gani kwa kiasi hiki?
Ndugu nilikua na sim aina ya samsung galaxy ,nikaibiwa sim hiyo ,masaa machache tu namba yangu ikawa haipatikani ila nilikuwa nimelog in kwa kutumia facebook katika sim yangu,nadhani mtu huyo hajalog out .maana kila nikitumia device nyingine najiona niko onlinenaweza je kumpata huyo mtu hata kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.