Break news: mbunge wa arusha mjini Godbless Lema apelekwa jela: aacha waraka waukombozi kwa wananchi wake na watanzania wote soma waraka hapa:
JELA NI MAHALI PA KUISHI KAMA SABABU YA KWENDA HUKO NI VITA DHIDI YA UONEVU, UKANDAMIZAJI WA HAKI NA UTU WA BINADAMU.
Wapendwa wapiga kura wangu na...
Katavi kanuni za bunge hazimlazimishi mbunge kuuliza swali cha msingi fahamu mbunge wako hatambui anachokifanya..... wewe wamsapoti maana hujui unachokifanya, uwezo wa kutambua mtoto ni mzazi wake...... hongera Familia ya Lisu .......
msiwakatishe tamaaa watz, sote 1 1 na pamoja tutumie nguvu na maarifa kama ndugu na kufanya tz bora, maisha bora kwa kila mtz inawezekana, Timiza wajibu wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.