Recent content by khoty

  1. K

    Said Bakhressa aanza kuwasogelea wanasiasa

    hizi porojo za masikini mvivu, na wewe kafanye kazi acha anaefanya kazi awe bepari maana hata tusipokuwa na mabepari waua chawa watakuwa wengi
  2. K

    Lema kupanda kizimbani pamoja na viongozi wa CHADEMA wa Arusha mjini

    Break news: mbunge wa arusha mjini Godbless Lema apelekwa jela: aacha waraka waukombozi kwa wananchi wake na watanzania wote soma waraka hapa: JELA NI MAHALI PA KUISHI KAMA SABABU YA KWENDA HUKO NI VITA DHIDI YA UONEVU, UKANDAMIZAJI WA HAKI NA UTU WA BINADAMU. Wapendwa wapiga kura wangu na...
  3. K

    Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

    hii hoja ni ya msingi kabisa, muelekeo wa ufanyaji biashara ufuatwe na taratibu! safi sana makamba....
  4. K

    Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

    crap crap .............. wewe utachangia nini
  5. K

    Wanafunzi wa udom (wahitimu) wakosa ajira

    kweli maana ya utafiti ni finyu kwa waliowengi sasa kwa staile hii mtu an aweza fikiria hata kwamba choo chake kimebomoka?
  6. K

    Elections 2010 Wasaidieni chadema kwa hili la upotoshwaji wa hoja yao na propaganda

    scrap chabema mmeterizi mitandao hasa hiii jamiii foram ndo scraps tupu watu wanafanya tawi la chadema
  7. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    Thanks Kagemro for speech....... its great
  8. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    Katavi kanuni za bunge hazimlazimishi mbunge kuuliza swali cha msingi fahamu mbunge wako hatambui anachokifanya..... wewe wamsapoti maana hujui unachokifanya, uwezo wa kutambua mtoto ni mzazi wake...... hongera Familia ya Lisu .......
  9. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    heheeeee wabunge wapya ni tundu na kristina, azungumzie ukuaji wa uchumi kwa kutumia filosofi au uchumi gani kwa mwanasheria??????? acheni wehu
  10. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    heheheeeeee walitoka ili wafanywe kitu?????????? ndo zenu kuropoka .......... fulani kajinyea akanishitaki..... wehu huo
  11. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    heheeeeeee heheeeeeehe tutaona chadema wataomba hela za kutekeleza majukumu yao kwa slaaaa au JK heheeeeeee Kidumu CCM
  12. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    CHEZO uliahidiwa tenda ya kujenga ofisi za chadema ukarushwa......
  13. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    spika anakazia kuhusu umasikini......
  14. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    mipasho nayo burudani kama bongo flava etttttiiiii Bwana 2, hapo vipi.....
  15. K

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    msiwakatishe tamaaa watz, sote 1 1 na pamoja tutumie nguvu na maarifa kama ndugu na kufanya tz bora, maisha bora kwa kila mtz inawezekana, Timiza wajibu wako
Back
Top Bottom