Ni kawaida ya paka kujilamba mara kwa mara, lakini kama non stop hapo siwezi kusema kitu. Dawa kubwa ya Paka ni kumpa chakula kilichopikwa hasa hivi vyakula vya proteins (jamii ya vitoweleo) kama samaki au nyama japo kidogo, atanawiri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.