Recent content by khesam888

  1. K

    Ushauri kuhusu kilimo cha matunda, miti na viungo pamoja na uuzaji wa miche yake

    Hapo kwenye minazi, yanakuwa kwa kimo gani, pia Tsh ngapi kwa kila mche au hata bei ya jumla? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Dawa ya aleji ya paka

    Maziwa dawa nzuri pia Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Dawa ya aleji ya paka

    Ni kawaida ya paka kujilamba mara kwa mara, lakini kama non stop hapo siwezi kusema kitu. Dawa kubwa ya Paka ni kumpa chakula kilichopikwa hasa hivi vyakula vya proteins (jamii ya vitoweleo) kama samaki au nyama japo kidogo, atanawiri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

    Aina hii ya mbwa inaitwaje? angalia picha nilizoweka Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom