Hahahahahhh mzee wa chungu cha bibi mtu mzima ilikuwa mdadi umekupanda nn hata ukapigwa msonyo labda alihisi unataka kunyonya na wewe unajua kaka hukufanya vby kumwambia ila ndio tatizo la wanawake wa ki tanzania na si waafrika wanatabia mbaya wanaona wakizaa na kunyonyesha thamani imeshuka ndio...
Mm nakushauri achana na hyo jamaaa kamakweli ushajua mahusiano yao sasa ya nn kutaka kujiingiza hapo na ww tafuta mwanaume mwengine mwenye maslahi na ww sasa kuwa makini na watu wenye tabia hiyo kuchan'ganya mapenzi na shaga yako je kama laitani unafanyiwa ww hvo na shoga yako anakuja kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.