Recent content by khalidi wazir

  1. khalidi wazir

    Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

    Habari zenu wadau. Niliomba mtuambaye amesha wahi kufanya biashara hii ya asali ama uvunaji anisaidie kunipa ushauri na kuielekeza unafaidikaje na biashara hii
  2. khalidi wazir

    Msaada wadau

    Inafomatika fresh ukiitia vitu ukichomowa ukija kuchomeka tena inakwbia fomart
  3. khalidi wazir

    Antivirus

    Ila mbona hiyo Avast inakula mafaili sasa inauzudigani?
  4. khalidi wazir

    Msaada wadau

    Naomba mnielekeze jinsi ya kuondowa sms inayo nijia pindi nikiingiza flash Huwa inaniambia niformat na huwa kila nikichomeka flash inaniletea hiyo sms
  5. khalidi wazir

    Isa

    Habari ya sahizi wadau naomba mnijuze juya biashara ya hisa 1) ikoje sokolake 2) unafaidika vipi? 3) unafatiliya vp sokolake?
  6. khalidi wazir

    Biashara ya mashamba

    Habari zenu wadau wenzangu wa JF Kuna mashamba yanaizwa kwabei nzuri kabisa. 1) lipo mbeleya mkuranga Nikilometa kumi kutoka kongowe na nikilo meta mbili kutoka kituwo cha basi Shamba lipo sehemu nzuri nalimesha achwa njia pandezote nneza mipaka ya shamba Kutoka kwenye shamba hadi...
  7. khalidi wazir

    Mauzo ya mashamba

    Nikilometa kumi kutoka kongowe Kuna mashamba ya heka moja na heka tano ambayo yapo karibu kabisa na barabara. Mashamba yapo mbele ya mkuranga. Kwa malezo zaidi namba yangu ya watsap 0717 143959
Back
Top Bottom