Recent content by Khalid Sankara

  1. K

    Ngorongoro ni mali ya Maasai wa Tanzania na Kenya

    Hamna kitu kama hicho. Mipaka ya nchi ipo na lazima iheshimiwe iyo ina apply kwa jamii zote. Huu mgogoro kuna mkono mkubwa wa Kenya, maana naona wao ndiyo wanaongoza kupiga kelele.
  2. K

    Je, ni Kweli Tanzania tunaitegemea Kenya? Siyo Kweli

    Biashara kati ya Tanzania na Kenya imekuwa ikikuwa kwa kiwango flani kutokana na uwepo wa jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) iliyoanza mwanzoni mwa miaka ya 2000. Tangu kipindi cha kuundwa kwa jumuiya hiyo , biashara imekuwa ikikuwa na mpaka kufika 2021, biashara kati ya Tanzania na Kenya...
  3. K

    Haya ndiyo yatakayotokea kabla ya New World Order. Vipi umejiandaaje?

    Haya ni baadhi ya mambo ambayo Wachambuzi wanaamini yatatokea kabla ya NEW WORLD ORDER. 1. Ubadilishwaji wa katiba nyingi Duniani kuendana na mfumo mpya wa utawala Duniani. 2. Upandaji wa bei za bidhaa muhimu 3. Mabadiliko katika sarafu( mfumo wa manunuzi Duniani kote) 4. Uwepo wa Dini mmoja...
  4. K

    Kenya yaipiga bao Tanzania, yanunua mahindi Tanzania na kuyauza kwa bei ya juu Sudan Kusini

    Kenya imechangamkia fursa iliyotokea hivi karibuni ya uhitaji wa zao la mahindi nchini Sudan Kusini, hii ni baada ya Uganda ambayo ni tegemezi la South Sudan katika mazao kuwa na uzalishaji mdogo wa mahindi. Jambo hili limepelekea bei ya zao la mahindi nchini Sudani Kusini (mwanachama wa...
Back
Top Bottom