Twin kid acha porojo njoo na hoja madhubuti unaongelea ishu ya ibilis na haujui hata story yake somen acheni ujinga mmekaza mafuvu kukataa uwepo wa Mungu na bado mnapinga vitabu vya Mungu kwa kuleta hoja zilizo anzishwa na watu kama nyinyi hivi unahisi usipo muamin Mungu atapungukiwa na kipi au...
Infrpreneur ishu ya wew kutaka kumuona Mungu haikuanza kwako au kutaka ishara ya wazi ya uwepo wake wapo watu kabla yako lkn mwisho wa siku baada ya uthibitisho kuwafikia bado walikataa kumuamin mfano wa watu walioomba uthibitisho niIbrahim alimwambia naomb nionyeshe ni namna gani unafisha na...
Infrpreneur uko Tz ndo nchi yako umepewa uhuru wa kufanya chochote ila kuna sheria zimewekwa ukienda kinyume unaadhibiwa sasa kama nyinyi kwa nyinyi mnwekeana sheria vp Mungu alie kuumba anaachaje kukupa mfumo wa wew kuishi
Infrpreneur ishu ya Radi kupiga haihusiani na ubaya au ukatili hiyo ni ktk ishara za uwepo wa Mungu kasome Quran kuna sura inaitwa surat Rad imeelezea vizur zaid kuhusu radi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.