Recent content by khaj

  1. K

    TCU waweka round ya nne!

    Wakubwa fanyeni mnavyoweza mpate mwaka huu, mkisubr mwaka kesho jam ndo itakua kubwa balaa...mm mwenyew yamebitokea hayo hayo...hamtapata ni bora ukaze sasaiv kwa kila njia
  2. K

    Second Round Application TCU

    Na mm nasupport st joseph sio chuo ni genge la wahuni kutoka india wamekuja kupiga pesa kwa watu wa Tz hawana elimu pale hata kama kinaanza mm nina watu pale campus mpya badooo sanaaa....ila kama hutak nenda utajionea na KIU pia hvo vyuo ni uozoo mtupu vyote sasa ukibisha wakati ww husomi hapo...
  3. K

    Tcu hawatutendei haki

    Yaan mm nataman niwafungie safar toka mwanza...its boring kwel
Back
Top Bottom