Wakubwa fanyeni mnavyoweza mpate mwaka huu, mkisubr mwaka kesho jam ndo itakua kubwa balaa...mm mwenyew yamebitokea hayo hayo...hamtapata ni bora ukaze sasaiv kwa kila njia
Na mm nasupport st joseph sio chuo ni genge la wahuni kutoka india wamekuja kupiga pesa kwa watu wa Tz hawana elimu pale hata kama kinaanza mm nina watu pale campus mpya badooo sanaaa....ila kama hutak nenda utajionea na KIU pia hvo vyuo ni uozoo mtupu vyote sasa ukibisha wakati ww husomi hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.