Recent content by Khadija Abdul

  1. K

    Kinana ampiga stop Mwigulu, amtaka asitishe ziara zake zote za Mikoani!

    Mwigulu Nchemba atakiwe kuleta thamani ya safari zake za chopa ili TRA wamdai kodi mara moja. Mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.
  2. K

    Anna Tibaijuka Encyclopedia

    hii ni CV ni shida, nadhani imewauma walio wengi
  3. K

    Prof. Tibaijuka: Nijiuzulu kwa lipi?

    assume wewe ndo mama Tibaijuka hebu twambie ungejiuzulu based on what facts/reasons/mistakes?
  4. K

    Mshuhudie Anna Tibaijuka wakicheza mziki na Rugemalila baada ya kupeana ESCROW

    jaman jaman jaman, muogopa Mungu! hapo umefika mbal sana
  5. K

    Waziri Membe jiandae kukanusha

    5% waliyompa Mwananchi ndo stahili yake
  6. K

    Ushauri kwa Mh. David Kafulila

    Ni tukio tu, litapita na mtasahau
  7. K

    HOJA MBADALA: Tuhamasishe CCM imsimamishe Membe 2015?

    Haihitaji akili nyingi sana kujua kuwa Membe akisimama, UKAWA wanaichukua Ikulu saa 12 asubuhi
  8. K

    Kikwete kumsaliti Jaji Warioba ni sahihi? Visasi au ni udhaifu wa rais Kikwete?

    Kamsaliti kwa lipi? Kakataa kupokea kazi aliyomtuma? kwani Kikwete hakutakiwa kukosoa kazi aliyoifanya mzee Warioba?
  9. K

    Barua kwako Mzee Joseph Sinde Warioba

    mie nampa pole sana huyu mzee lakini pia namshauti arudi nyumbani kwake akae atulie bse kazi aliyotumwa na mh Rais keshaifanya na kuimaliza. sasa suala la imekubalika au haijakubalika halimuhusu
  10. K

    Mwanasheria IPTL acharuka

    Jamani mama wa watu Tibaijuka, alishatukanwa mpaka basi. kumbe kaonewa! I think, people have to come back and apologise for this mama.
  11. K

    Majivuno ya prof. Muhongo yana tija gani kwa taifa letu?

    Mjomba, kwa hiyo hata Prof. Wangari Maathai (Kenya), Nobel Peace Prize winner, katika uhai wake dessertification iliyokuwa inaendelea Kenya alishindwa? Dr. Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria) former Managing Director at the World Bank & former Finance Minister kwa corruption inayozidi kukithiri...
  12. K

    Membe: Masele ni mzushi tu, Ubalozi wa UK na Balozi wake hawahusiki kwa chochote!

    Membe kipaza sauti wa British High Commission.
  13. K

    Kwanini Freeman Mbowe hasafiri na Mke wake kwenye ziara za kitaifa na Kimataifa?

    Kwani akisafiri na mke wake wewe na watanzania wote kwa ujumla wetu tutafaidika na nini? Pointless.
  14. K

    Ni kijana yupi kati ya Makamba, Zitto, Nape, Mwiguru na Ngeleja si mchumia tumbo?

    Kama siasa ni ajira, basi ni kijana yupi TZ aliyeajiriwa asiyekuwa ana chumia tumbo?
  15. K

    Ni kosa kubwa kimkakati ulilolifanya jana Mh. Lowassa

    Eti "ukashindwa kuhutubia"....alikwambia? Eti "ukaondoka tu kimyakimya".....au wewe ndo haukuagwa? Eti "nitakushauri tena".....kwa hiyo umaarufu wa EL unatokana na ushauri wako Yericko tena kupitia JF?
Back
Top Bottom