Kilamuluzi
Senior Member
- May 20, 2014
- 116
- 20
kama una akili, mleta uzi ungemshauri warioba akatulie nyumbani kwake asubiri siku ya kupiga kura apige kura ya HAPANA. warioba kuendelea kuikosoa katiba pendekezwa, kimaadili ukizingatia yeye ni jaji, anakosea.
mnajua kwa nini hakimu au jaji huwa anajitoa kusimamia kesi iwapo mtoto wake au mjukuu au mkwe yumo ktk kesi ile?
tafakari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sitaki kuhamini kama uwezo wako wa kufikiri unaishia hapo. Kwani Mzee Warioba na raia wa nchi gani? Na ni nani anatakiwa kuelimisha watanzania? Tafakari chukua hatua