Kaka mitihan mm nliona anachokiongea jamaa n kwer mitihan imekua rahis sana nmeona paper physics n nyeupe kabsa mathematics hvo hvo bioz hvo hvo issue sio mazngra issue paper ziwe na uzito ka zaman hawa watoto waliofaulu wape mitihan ya mock inayotungwa kama wanapata hzo div 1 za 3 acha kusema...
Jamen nataka kuulza hv selection za wanafunz waliofutiwa matokeo kidato Cha 4 Wakafanya mtihan na form 6 may hazjatoka tu!!! Kuna mdogo angu hapa amefaulu vzur mtihan wa marudio lakin mpka sasa selection hatujuii na mwez wa 8 n shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.