Hapana! inapotoka hiyo misuli ambayo sio ya kawaida, nahisi tu maumivu yani, kama vile yani hiyo misuli inazidiwa na damu mfano wake. Na inakuwa hivyo ninapotembea ikiwa inaning'inia, lakini haifi ganzi nahisi tu maumivu.!
Naomba msaada wa kitiba au ushauri.
Nina tatizo la kutokwa na misuli mikononi, yani kutoka kwenye kiganja hadi kwenye kipepsi/kisukusuku na huwa ikitoka mikona yote inakuwa na maumivu. Naomba kujua utatuzi wa hali hii kitaalamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.