Recent content by Key Point

  1. K

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Another meli with capacity to carry 3000 metric tones to be constructed at mwanza. Hii habari ni nyingine kabisaa
  2. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Sawa sawa mkuu fundi mzuri anapatikana mitaa ipi mimi niko maeneo ya kimara
  3. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Kwa hiyo ni kupeleka tuu kwa fundi zinaweza kubadilishwa nikachukua baada ya nusu saa maana mafundi huwa siwaamini kabisaa
  4. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Inajizima wakati na angalia kitu vyote nimebadilisha ila bado
  5. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Nimeondoa timer na nimeweka hiyo dakika10 bado inajizima
  6. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Haileti ujumbe wowote na inajizima exactly kila baada ya dakika5,pia inakiwa standby na nawasha kwa remote
  7. K

    TV kujizima baada ya Dakika 5

    Habari za jioni, Nina TV yangu ni star x 32 inch led tv shida yake inajizima kila baada ya dakika kumi mara ya kwanza nilijua ni sleeping timer nimekagua wapi. Naombeni msaada
  8. K

    Tanzania to acquire 25% of EACOP as Oil firms set deadline for FID

    What the crude oil pipeline means to Tanzania Hayo ni baadhi tuu pia naona bado uchambuzi haujawaha mzuri mimi nahisi tunaweza kukusanya almost tshs 3trillion hapa
  9. K

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    What the crude oil pipeline means to Tanzania Ukisoma hiyo habari unaona tutakuwa tunapata mapato ya karibia Tshs 2.3trillion kutoka kwenye mafuta yanayotoka uganda sasa kwa mapato haya tuu kila mwaka tunaweza kuwa tunajenga almost 200km-400km za sgr.viva Magufuli
  10. K

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    Mkuu nataka kuagiza gari BMW 320i E90 itanicost shilling ngapi nikiagiza kupitia kwenu na pia naomba insit za hilo gari
  11. K

    Wamiliki wa BMW Shikamooni

    BMW 320i E90 na mimi najipanga kuchukua hii kitu aisee naona kwa 14.5m inakuwa mkononi mkuu naona fuel consumption yake inaenda hadi 7ltrs/100km on high way
  12. K

    Car4Sale Magari used Tanzania

    3m mkuu mwisho kabisaa
  13. K

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Kuna million 2 mkuu
  14. K

    Nini faida ya kumiliki gari?

    Hyo ni return ya mwaka mzima unapata 1m unapiga vigelegele wewe ni mzma kweli si bora ungechukua fixed deposit kwenye banks aisee😂😂
  15. K

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Hap Hapo mkuu ndipo mlipofika kwasababu inabidi nibadilishe rangi
Back
Top Bottom