Recent content by KevinJazdow

  1. K

    Rais Magufuli akutana na mawaziri wa Elimu na TAMISEMI, apiga marufuku michango ya aina yoyote shuleni

    Rais Dkt John Pombe Magufuli akutana na Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo na Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako. Rais Magufuli amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari.
  2. K

    Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema kimefanikiwa kukusanya Sh138M kugharamia matibabu ya Tundu Lissu

    Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema kimefanikiwa kukusanya Sh138 milioni kugharamia matibabu ya Rais wa Chama hicho, Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Leuven nchini Ubelgiji. Taarifa iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa TLS, Godwin Ngwilimi amesema kiasi hicho...
  3. K

    Shekh atoa makuu 3 ya mwanamke mwema

    1: Awe mtalaam chumbani. Mtalaam wa mahaba Shekh. 2: Awe hodari jikoni ajue kupika chakula kizuri, hii wanaweza. Kina mama wengi wanaweza. Hii ya tatu ndio nzito 3: Awe na lugha tamu hata kama ana hasira, hiyo ndio kazi Shekh. Nini maoni yako?
Back
Top Bottom