Kila jambo linawakati na mungu anamakusudi yake tena huenda huyu akawa mzuri kwako coz hakubani wala kukusumbua cku nzima anakupigia cm ami was ana jambo la msingi na kama anakusalimia bac we jua uko akilini mwake. Fanya uamuzi kabla hajafanya maamuzi mengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.