Recent content by ket

  1. K

    Popcorn machine

    Natafuta pia popcorn machines nzuri . Where can I get them na kwa bei gani. Nisaidieni wa ndugu
  2. K

    Msaada;Soko la Mahindi

    Unauza kiasi gani
  3. K

    Nauza Kwale na mayai yake

    Nauza kwale wanaotaga mmoja ni 18000 na mayai ya kware trei ni 20000. Tafadhari tuwasiliane niko mbweni. 0754814800
  4. K

    Naomba kama kuna mwana jf anayejua mayai ya kwale na kanga yanapatikana wap hapa bogo na kwa bei ga

    Nina mayai ya kware kama nitafute niko boko mbweni. 0754814800
  5. K

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Amazingtone tafadhari nifundishe na Mimi ninafuga kuku bata na kware
  6. K

    Nauza kwale pia mayai ya kwale

    We marire tuheshimiane. Lambda Kama umewrweseka mwenyewe ukipiga simu. Acha kuharibia watu biashara. Kama kware unahitaji au mayai sema acha longo longo
  7. K

    Nauza kwale pia mayai ya kwale

    Kware anaetaga 15000 tray ya mayai kwale 25000. Nitafute kwa 0713878737
  8. K

    Nauza kwale na mayai yake

    Wadau nauza kwale kila mmoja sh 15000 na mayai yapo trei 25000 . Tafadhari tuwasiliane kwa wanaotaka kufuga au kutotolesha au lishe au dawa. 0712878737
  9. K

    Kuku na mayai kienyeji

    Nauza kuku pure kienyeji majogoo na majike. Being zinatokana uzito wa kuku. Pia Mayai kienyeji trei 15000. Nipigie nikuletee ulipo Kama no hapa dar . 0712878737
  10. K

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Nauza kuku kienyeji pure. Na Mayai. Tuwasiliane 0712878737
  11. K

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Nauza kuku wa kienyeji majogoo 20000 makubwa na majike kuanzia 12000 na mayai yao trei moja ni 15000
Back
Top Bottom