Makazi anayo Moshi nyumba gorofa waziazi wake wapo Moshi ni yajiri kiasi ila ana ushirikiano na majiran akipita nagari utajua anapenda sifa Sana'a ila aishi kam mkazi makazi yake ya kudum yapo bongo nimbaguzi fulan ila baada ya kujua anataka gombea ubu
nge akaza tafuta undugu atakosa vibay...
Yaeh amekatwa ila kasema kulikuw na rushwa inaendelea kwanzi miezi mitatu nyuma kaandika barua za malalamiko takriban7 azijibiwi hivyo kasema chama kilikuwa na mgombea wake
Wote wabinafsi CCM hapo Moshi kama devi mosha,kajitaidi kujitengezea umarufu lakin wakitot huwa anawapa Msaada walemavu wasio jiweza kila sikuku kupitia kanisa analo sali Lutheran kiborilon,Ila nenda kwake kaombe msaada unambiewa atoe Msaada kwa asie mjua,mpuzi kweli,mtto wake alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.