Recent content by kessyI

  1. K

    Davis Mosha kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini?

    Makazi anayo Moshi nyumba gorofa waziazi wake wapo Moshi ni yajiri kiasi ila ana ushirikiano na majiran akipita nagari utajua anapenda sifa Sana'a ila aishi kam mkazi makazi yake ya kudum yapo bongo nimbaguzi fulan ila baada ya kujua anataka gombea ubu nge akaza tafuta undugu atakosa vibay...
  2. K

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Yaeh amekatwa ila kasema kulikuw na rushwa inaendelea kwanzi miezi mitatu nyuma kaandika barua za malalamiko takriban7 azijibiwi hivyo kasema chama kilikuwa na mgombea wake
  3. K

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Kasema ndio anafanya mpango wakuzungumza na viongoz wa chadem wilaya
  4. K

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Naibu waziri wa kazi na Ajira makongora mahanga Ahama CCM Asema a natamani kujiunga na chadem asasa anapanga kufanya mazungumzo na viongoz wilaya
  5. K

    Picha: Devis Mosha atumia Helkopta kura za Maoni

    Wote wabinafsi CCM hapo Moshi kama devi mosha,kajitaidi kujitengezea umarufu lakin wakitot huwa anawapa Msaada walemavu wasio jiweza kila sikuku kupitia kanisa analo sali Lutheran kiborilon,Ila nenda kwake kaombe msaada unambiewa atoe Msaada kwa asie mjua,mpuzi kweli,mtto wake alikuwa...
  6. K

    Dr. Slaa, Mbowe na Lissu kugombea urais kupitia CHADEMA

    Makene amesema mchakato wa urais ndio umeanza Leo na hakuna aliechukua fomu pia lisu kachukua fomu ya ubunge
Back
Top Bottom