SHTUKA, ZINDUKA CHUKUA HATUA STAHIKI TZ NI YETU SOTE;
Wakati Watanzania wanaendelea kupevuka, kukomaa kiakili, kujitambua, kujua wajibu wao na haki zao bado kuna kundi la watu wachache wanaojiita waerevu, wasomi, waelewa, watoto wa mjini, wanaendelea kufikiri kuwa kizazi hiki ni kile kizazi...