Siakatai ya kwamba kuna ongezeko la kasi la idadi ya watu kusini mwa jangwa la sahara,,,ila Unaitaja Afrika hali ya kuwa Asia ndiyo baba Lao kwenye suala la kusex
Natumaini akili unazo tena ambazo ni timamu,,,pima anachokisema mama,kwa jinsi unavyomfahamu vyema kiundani huyo binti na uzoefu kutoka kwa vijana wenzio na wazee utapata kitu kikubwa cha kujua nini ufanye ila usije ukaoa kabla ya kumaliza tofauti na mama mzazi kama ni muelewa
Ni kweli ni vigumu kupata mke mwema kama ulivyosema kutokana na utandawazi,malezi mabovu,marafiki na makundi rika,kutoweka kwa hofu ya Mungu miongoni mwa walio wengi na kadhalika lakini uwezekano upo maana siku zote neno la Mungu ni hai nalo linatuasa mke mwema hutoka kwa bwana,,,hivyo basi...
Maendeleo ya sayansi na teknolojia ndiyo yanazidi kuleta matokeo kama haya yote kwa yote litapata upinzani mkubwa sana kwa sababu litadunisha mzunguko wa pesa hasa kwa makampuni ya mitandao ya simu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.