Recent content by Kesaboso

  1. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Wewe unadhani tofauti na kufungiwa ndani unataka serikari ifanye nni zaidi wewe bibi kizee?
  2. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    FaizaFoxy, Hawajielewi hawa, wanataka walazimishwe kisha watoke nje, wakipigwa watasema serikari mbaya, huyo anaeongea wakiweka lockdown utamkuta yupo mitaani anazurura, wamezoea kwenda kwa fimbo.
  3. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Kwa hiyo hata kazi za viwandani zinafanyika Us mtu yupo morogoro? Au unataka nijue tu kuwa unaenda Us na una kazi huko? Juzi tu kuhusu mkopo wa tz tumesikia mpaka walikaa kikao kupat maamuzi, je kwa nni wasingewasiliana kila mtu akiwa kwake kisha wanaamua kulikuwa na umuhimu gani wa kuwakutanisha?.
  4. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Sasa wewe unataka usifanye kazi kisha ulipwe, na kwa pesa ipi wakati serikari itakuwa haikusanyi kodi? Jana trump alikuwa anafikilia kuruhusu kazi zifanyike wakati kwao ndo kuna maambukizi makubwa na vifo, unafikili kuweka lockdown ambayo watu wanataka ni suruhisho? Itafika muda watu watapona...
  5. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Sijijui, 1, tumia usafili wako au tembea kwa mguu, 2, omba likizo bila malipo ili ukae nyumbani mpaka ugonjwa utakapo isha.
  6. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Melezo ya serikari ilishatoa utaratibu wa kujikinga na ukiwa na mashaka namba za simu zipo upige kama unamhisi mtu au wewe mwenyewe, pia kuzingatia usafi na distance au ukae nyumbani, kwa hiyo hilo kwako umeona sio tahadhali unataka mpaka uchapwe viboko ndo utaona hiyo ni hatua sio? Au ulitaka...
  7. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Hatua zipi? Zitaje hapa, au unongea kwa kufuata mkumbo lakini huji nni kifanyike, watanzani unamkuta anshdadia kitu huku hajui chchote,
  8. Kesaboso

    David Kafulila: Natofautiana na Zitto kuhusu ripoti za CAG na mwenendo wa uchumi

    Ni bola njaa ya kafulila lakini hoja zake zina mantiki kuliko kujivika uongo na fitina, watanzania wanapenda umbea ndo fulaha yao lakini ukweli kwao hawataki.
  9. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Wewe unahisi nini kifanyike ambacho hakijafanyika? Kieleze hapa ili tuchambue wazo lako
  10. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Kwani trump mdo anatibu watu, au raisi akibaki ikulu ndo watu watapona?
  11. Kesaboso

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Usishadadie mambo ebu jaribu kuwa unapata taarifa kwanza, kama trump mwenyewe anaweweseka anataka watu waanze kufanya kazi wakati idadi ya vifo ndo inaongezeka, sasa hiyo lockdown yao itakuwaje, usichezee kitu kinaitwa lockdown wewe, tupambane nayo kwa kufuata maelekezo, mtu ukishindwa...
  12. Kesaboso

    TBC yakanusha uzushi juu ya 'kifo' cha mtangazaji wake Gloria Michael

    Nenda musibani au kwake ulete taarifa, acheni kiherehere nyie nyumbu, Kwenye ishu ya Menina kuna mwanamziki alikataa katakata kuwa sio Menina, eti ni family friend na kwamba menina hajawahi.kuweka mauchafu yale mdomoni yaliyokuwa yanang'aa, lakini menina alipokubali mwenywe yule msanii mpaka...
  13. Kesaboso

    Ili Afrika iendelee lazima iwe tegemezi kwa wazungu?

    Taasisi imara bila umoja ni kazi bure, mkiwa na vibaraka na mnatofautiana kwenye mambo ya msingi wa nchi hizo taasisi zitafanyia wapi kazi, kwenye nchi za Africa ambazo bado zinahusudu uchawi, ubinafsi uchoyo, majungu, umbea, roho mnaya? Waafrica hawana mkakati wa kiafrica kwa ajiri ya africa...
Back
Top Bottom