Kwa hiyo hata kazi za viwandani zinafanyika Us mtu yupo morogoro? Au unataka nijue tu kuwa unaenda Us na una kazi huko? Juzi tu kuhusu mkopo wa tz tumesikia mpaka walikaa kikao kupat maamuzi, je kwa nni wasingewasiliana kila mtu akiwa kwake kisha wanaamua kulikuwa na umuhimu gani wa kuwakutanisha?.
Sasa wewe unataka usifanye kazi kisha ulipwe, na kwa pesa ipi wakati serikari itakuwa haikusanyi kodi? Jana trump alikuwa anafikilia kuruhusu kazi zifanyike wakati kwao ndo kuna maambukizi makubwa na vifo, unafikili kuweka lockdown ambayo watu wanataka ni suruhisho?
Itafika muda watu watapona...
Melezo ya serikari ilishatoa utaratibu wa kujikinga na ukiwa na mashaka namba za simu zipo upige kama unamhisi mtu au wewe mwenyewe, pia kuzingatia usafi na distance au ukae nyumbani, kwa hiyo hilo kwako umeona sio tahadhali unataka mpaka uchapwe viboko ndo utaona hiyo ni hatua sio?
Au ulitaka...
Ni bola njaa ya kafulila lakini hoja zake zina mantiki kuliko kujivika uongo na fitina, watanzania wanapenda umbea ndo fulaha yao lakini ukweli kwao hawataki.
Usishadadie mambo ebu jaribu kuwa unapata taarifa kwanza, kama trump mwenyewe anaweweseka anataka watu waanze kufanya kazi wakati idadi ya vifo ndo inaongezeka,
sasa hiyo lockdown yao itakuwaje, usichezee kitu kinaitwa lockdown wewe, tupambane nayo kwa kufuata maelekezo, mtu ukishindwa...
Nenda musibani au kwake ulete taarifa, acheni kiherehere nyie nyumbu,
Kwenye ishu ya Menina kuna mwanamziki alikataa katakata kuwa sio Menina, eti ni family friend na kwamba menina hajawahi.kuweka mauchafu yale mdomoni yaliyokuwa yanang'aa, lakini menina alipokubali mwenywe yule msanii mpaka...
Taasisi imara bila umoja ni kazi bure, mkiwa na vibaraka na mnatofautiana kwenye mambo ya msingi wa nchi hizo taasisi zitafanyia wapi kazi, kwenye nchi za Africa ambazo bado zinahusudu uchawi, ubinafsi uchoyo, majungu, umbea, roho mnaya? Waafrica hawana mkakati wa kiafrica kwa ajiri ya africa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.