Eti naishi leave shemeji four years after quitting medical course nina tractor 30m, Toyota liteace16m sun LG 2m, a house,retail shop 2acres of cassava, 4acres of maize,nusu acre ya nyanya inayokaribia kutoka, no Nina acre mbili za nyanya natoa na juzi nimetoa tenga 180 na Lila tenga ni75000
Aka...
Hujitambui wewe name ndio maana unaitwa mama k, kilimo sio mpaka mbaazi pumbavu wewe,mimi mwenyewe nimelima name zimeniumiza lakini unaijua being y'all nyanya.
Kwani mpaka uajiriwe, Shika jembe Lima utapata zaidi ya unachokilalamikia.
Maisha yamebadilika usiwe uanlialia ndugu wakati umri unaenda ukija kushtuka paa unasubiri bahati toka tatu mzuka aunt Biko.
Komaa hata hao nao walikomaa ndio maana wanaajiri ndugu zao.
Tuache maneno tufanye kazi tuijenge nchi,haiwezekani tuwe tunalalamika tu kwa kauli za wanasiasa,maendeleo ya nchi yanaletwa na wananchi na si wanasiasa,hii nchi ni miongoni mwa nchi zitakazokuwa na watu wengi masikini baadae haiwezekani kila siku chadema na ccm tu hivi kuna muda smbao vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.