Recent content by kephason Tumaini

  1. K

    Natafuta kazi ya udereva wa mabus au roli semi tella

    Kaka ukipata nipo apa kama tandiboy wako msaada
  2. K

    Natafuta ajira yoyote au kibarua

    Nikijina wa miama 26 mkazi wa Arusha nina leseni class D nina uzoefu ila nipo tayari kufanya kazi yoyote sehemu yoyote Mawasiliano 0699249137
  3. K

    Nahitaji mtu/mfugaji wa kondo chotara

    Wanajenzi na shida na kondo chotara nipo Arusha
  4. K

    Wakulima Wenzangu, hapa ulipo bei ya mahindi na maharage kwa gunia la kilo 100 ni shilingi ngapi?

    Wapambanaj wenzangu wakilimo hapa ulipo bei ya mahindi na maharage kwa gunia la kilo 100 ni shilingi ngap
  5. K

    Tanzania kuna huduma za kuchangia mbegu?

    Mimi nauliza tu, Hivi Tanzania kuna sehemu Ke au Me anaweza kuchangia mbegu au yai ili kupata mtoto bila wazazi kukutan kimwili?
  6. K

    Soko la faida kwa mazao ya chakula

    Binafsi mapenda kufanya kilimo cha biashara japoo sio kwa ukubwa huo ila hofu yangu soko lenye faida kwa mkulima lipo?!
Back
Top Bottom