Mpaka sasa Sauti ya Watanzania ndiyo watetezi wa kweli wa madhila yanayowapata Watanganyika, hao wengine wako busy na kusuguana kuhusu Uchaguzi wa 2024 na 2025 maana nikiangalia mwenendo wa harakati hizi Tayari Sauti ya Watanzania imeisha weka point moja kubwa Mkononi ya ya kuzuia umilikishwaji...
Kwakweli Chadema wakianza kumpiga vita kila mtu aliye mbele yao wataonekana kuwa na ubinafsi, kwa mawazo yangu Mpina ni mtu sahihi wa kuungana naye maana kwa upande wake anaonekana kama ni jeshi la mtu mmoja dhidi ya CCM wenzie, na kwakuwa yupo karibu na jikoni ni msaada mkubwa kwa harakati zao.
Ameshindwa kujiudhuru yule aliyezua taaruki kwa kutangaza hadharani kwamba kuna wahaini nchini na kufuja rasilimali za taifa + muda na kuwasumbua watu na kuwachafulia CV zao ije kuwa huyu ambaye dhamira yake imepigwa tik-taka?
Inamaana na usomi wake wote + umaarufu na pengine ameisha jilimbikizia mali bado ategemee ajira ya Serikalini? kama ndivyo hivyo basi elimu kwa Tanganyika haina maana tena!
Sisi
na nani tunapotosha? issue pale ilikuwa ni DP world, na hakuna aliye muuliza, amelikoroga mwenyewe badala ya kujikita kwenye maadhimisho amejitia kitanzi mwenyewe kwa kiherehere chake, matokeo yake Rais mwenyewe akawa mjanja akapindua meza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.