Nichukue nafasi hii kuipongeza wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi pamoja na serikali kwa ujumla kwa jitihada kubwa za kujaribu kufanya kila liwezekanalo ili kila mtanzania aipate elimu,pamoja na kuboresha elimu yetu kuanzia awali, msingi, sekondari hadi chuo kikuu. Mojawapo ya hatua hizi...
jamani ndugu zangu waalimu tukae chini tujiulize. hivi kufundisha vizuri kunahitaji mishahara mikubwa(Big Salary)? Wengine mna watoto wenu wa kuwazaa huko shuleni kama mimi. Mnataka kuniambia mnawafundisha vizuri kuliko wengine? na wana BRN?. Nilidhani mimi na wengine tuungane kuiomba serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.