Recent content by kenda9

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu: Ni lini na sehemu gani interview ya Cornerstone leadership academy itafanyika?

    Mugabe shule ya msingi - sinza; tarehe 17-18 Mar 2017. Kuanzia saa 2 asubuhi.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Ushauri ulionisaidia mimi ni km ifuatavyo: Nyoa kila siku na hakikisha kidevu kimepakwa sabuni wakati wa kunyoa. Kausha kidevu vizuri halafu paka mafuta yoyote yale. Baadaye mwili unazoea na unaweza kunyoa mara chache kwa wiki au zaidi. Jaribu hilo uone kama litakusaidia.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hydroponics formul for toma

    Mkuu, hiyo formula inapatikana wapi hapa Tz?
Back
Top Bottom