Recent content by kemoyomuya

  1. K

    Huyu mkuu wa mkoa ameingia 18 zangu

    Bopigeni dili wote ikigundulika mkose wote,wewe utafukuzwa kazi tena na yeye kampuni yake itapigwa marufuku kupata tends yoyote nchini .hapo utakuwa umelipiza kisasi kiume.
  2. K

    RC Makonda: Marufuku mtu kutolea matamko ya kichochezi katika Mkoa wangu wa Dar es Salaam

    Toa tamko uone utashitakiwa kwa sheria gani we nyau !!!!!!!!! Mnabwata huku mikia ikiwa matakoni mtakoma ,hii ndo Tanzania ya amani na maendeleo ,mh Mkuu wa mkoa was DSM asante sana naomba pia wakuu wengine wa mikoa waige weredi wako .Asante makonda ,Asante DSM .
  3. K

    JNIA, DAR: Rais Magufuli katika uzinduzi wa mradi wa rada na mapokezi ya ndege mpya ya ATCL

    Machadema mtajiju ,habari ndo hiyo Rais Wetu mpendwa piga kazi tuko nyuma yako.waambie waambie Simba amelala wanachezea sharubu ,ha ha ha ha ha !!!!!!!!!!!!
  4. K

    Maovu ya GSM yaanikwa: Wahusishwa na watu wasiojulikana, Makonda aonywa kuwa karibu nao

    Hizi ajizi zimekuwepo enzi na enzi ila hatukuweza kuona matokeo yake zaidi ni porojo za chadema bada kukosa kufanya sias za vitndo za kuwaletea wananchi maendeleo .mtaongea maporojo yenu sana huku nchi ikichanjanmbuga nyie mtaambulia kuangukia pia.
  5. K

    Unafiki wa wanaChadema kwa Chadema

    Tuko bizy cc ,kesho tunaipokea ndege yetu ,chadema mtazidi kunyea debe tu .
  6. K

    Barua ya Evarist Chahali kwa viongozi na wafuasi wa upinzani (Hususani CHADEMA)

    Hakika huyu ni rais wa pekee ktk taifa teule lenye rasilimali nyingi ,Mh rais endelea kutuletea maendeleo sisi mamilioni ya watanzania ,hivi vikundi vya matahira kama akina chahari vyapaswa kushughulikiwa bila haya.ha ha ha wapiga dili jaman poleni sasa mnapumulia mashine .mh mh mh! Chahari...
  7. K

    Zitto: Kuwasweka ndani viongozi wa CHADEMA ni tishio kwa demokrasia

    Mkiwa nje mnahadaa wananchi kuwa hamuogopi jela wal a kufa ,mkiswekwa jela mnalalamika mnaonewa ,mh sasa zamu yenu raia wema wako bizy wanasaka pesa ,nyie na siasa zenu kaeni huko jela .
  8. K

    Mbowe: Hukumu ya Sugu ilipangwa hotelini na RC Makalla. TISS wanaratibu mikakati ya kutubambikia CHADEMA kesi

    Huna jipya Mzee wa gwanda bora urudi kupiga mziki ,hiv na mateja wamepungua,machangudoa wote mama ntilie sasa ,ha ha ha ha ! Siasa uchwara NATO imebana ,wafuasi nao wanataka mgao saw wa ruzuku ,utajiju na makengeza yako .hi hi hi hi .
  9. K

    Zitto Kabwe amjibu Musiba dhidi ya tuhuma za watu 10 hatari kwa usalama wa nchi

    Zitto mbona ukiwataja wenzio fresh tuuu ,wewe ukitajwa unabwekaaa .musiba ana unyeti wenu mkizingua tu anamwaga mboga ,shauri yenu mnakumbuka ya mbowe na manji kwenye issue ya drugs ,baada ya kutajwa walijigamba kwenye vyombo vya habar na mitandao ,walipofika polisi na kupewa ukwel wao ,fyuuuu...
  10. K

    Zitto Kabwe amjibu Musiba dhidi ya tuhuma za watu 10 hatari kwa usalama wa nchi

    Zitto mbona ukiwataja wenzio fresh tuuu ,wewe ukitajwa unabwekaaa .musiba ana unyeti wenu mkizingua tu anamwaga mboga ,shauri yenu mnakumbuka ya mbowe na manji kwenye issue ya drugs ,baada ya kutajwa walijigamba kwenye vyombo vya habar na mitandao ,walipofika polisi na kupewa ukwel wao ,fyuuuu...
  11. K

    Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi "Sugu" na Emmanuel Masonga, Wahukumiwa kwenda jela miezi Mitano kwa kosa la Uchochezi

    Wanafunzi wote watukutu shuleni hupewa suspension ama kufukuzwa shule ili kuwajengea mazingira mazuri ya kimasomo waliobaki,hivyo sugu ni mbunge mtukutu adhabu alyopewa ni sahihi ili kuwajengea wabunge wenzake mazingira ya kinidham ktk taifa letu,natmain waheshimiwa wabunge kwa ujumla wao...
  12. K

    Makambako: Mwandishi wa Raia Mwema avamiwa na kukamatwa na Polisi nyumbani kwake saa 9 alfajiri. Polisi wakana kumkamata

    Akamatwe kama ni mwizi wa umeme ,Tanesco msimuchelweshe mahakaman ili iwe funzo kwa wajinga wengine ka yeye
  13. K

    TANZIA: Diwani wa CHADEMA Kata ya Namwawala mkoani Morogoro auawa kwa kukatwakatwa mapanga

    Site tunasikitika kwa kifo cha mh diwani R.I.P mtanzania mwenzetu ,natmain c suala la kutupiana mpira hapa ni aibu kubwa kwa waheshimiwa wabunge kutoa kauli kana kwamba wanawajua wauaji ,(mf mh Nasari snasema mmeua tena " tafakari ni kina nani snaowambia hivyo kumbe wauaji anawajua naomba jeshi...
  14. K

    TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    R.i.p Tutakukumbuka kwa mengi sana,mbele yako nyuma yetu
  15. K

    Ni yepi "Maamuzi Magumu" aliyowahi kuyachukua Lowassa?

    humu ndani kuna watu wamekwend shule na kuelemika mi nafkr wanajamiiforum wote chimbuko lao la elimu ni walimu wa voda fasta ndo huwez kuona comments ambazo eduative ,wamejaza comments za upashkuna tu. ek
Back
Top Bottom