Yaani Nakumbuka nahisi tulikuwa pamoja kwenye ile ndege kabisa ile situation sitakuja kuisahau maishani mwangu Niliomba sala zotee Niliomba Toba,,Nilikaa na Bibi Mmoja kwenye siti nakumbuka ule mytikisiko ulivyoishaaa tulikumbatiana huku Machozi yakitoka,,Jamani Mungu awalaze hawa ndugu zetu...
Yaani hawa ni wezi kabisaa Kuna jamaa yangu namfahamu ameshawishiwa na mke wake wakazua hadi hiace kujiunga watu waili kama million 10 alinishawishii eeenh lakini katika hali ya kawaida unajiuliza hakuna hela ya bure kiasi hicho na salamu yao ya Goodmorning.. Watanzania ebu tuache uvivu wa...
Mmmm Chadema mna kazi aisiii Huu uzi umebeba yote ni hatari kwa Afya ya chadema kwa Mwenyekiti wa BAVICHA kununuliwa uwiii wanahitaji umakini mkubwa sana kama ni pigo hili ni kubwa asii Mbowe angalieni vizuri suala la Umri kwani ni munhimu sana hizi tamaa za kitoto kwa huyo aliyeondoka ndo...
Yaani wewe hiyo 65,000 ndo imekutoa imani na hiyo ni registration wewe unajua gharama za training the FX wewe uwiii ulishawahi kusikia wapi kuna kitu cha bure duniani kafanya free cz hiyo ni kiingilio koo unataka hata ofisi ashindwe kulipia Yaani in the coming day hatatokea hii chance tena...
hahahah huu uzi yaani lazima nipite aisiii maana unaweza shangaa Kamanda Ontario akawaita watu ukajikuta umeachwa na ukichelewa kidogo tu unakuta page ya 400 kama haupiti mara kwa mara
oooonh afadhali Kamanda wetu uko makini katika kuangalia hawa wezi wasije kutapeli watu....Aisiii yaani hadi ana screen shoot ili watu wamuamini Kamanda Ontario itabidi huu uzi uwe unapita mara kwa mara otherwise watu wengi watajifanya wewe
Yaani wewe Unadhani hii ni Njia ya Mkato jaribu uone Inahitaji usome pia inahitaji Muda ... Sio kama DECI hii na pia kama alivyosema mkuu Hapa hatuuzi pembejeo ingewezekana ungapita kimya kimya kuna Thread za kilimo tafadhali usichafue hali ya Hewa sisi tuko busy na Forex Bible
Please jaribu kuelewa Forex trade is not Gambling is an investment wengine inaowakimbiza ni wale wanaoichukulia hii biashara kama gambling na kumbuka hii ni biashara kama biashara zingine....Na ndo maana kuna watu wanafuga Kuku na bado kuku wote wanakufa lakini mtu bado anaendelea.. please...
Doonh kwa kweli wakuu Mungu awabarikis sana na Mkuu Ontario hakika Utabarikiwa zaidi na wala usiogope vitisho ...Yaani kila kitu kipo kila kitabu watu wanajitolea kwa kweli Lazima kieleweke.... wakuu nataka kujua jinsi ya kusoma hivi vitabu nauliza nianze na kipi maana tangu Huu uzi uansishwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.