Recent content by kelvin.pcb

  1. K

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa, Tutangazie Majina ya Vigogo wa Madawa ya Kulevya!

    Sure!!!!?, labda sio TZ yenye magubegube.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa, Tutangazie Majina ya Vigogo wa Madawa ya Kulevya!

    slaa naye m2, anaogopa km ww 2.
  3. K

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nadhan alilenga kubonyeza Y na sio U, coz kwenye kibodi zpo karbu(T,Y,U), so 2cjudge sana, as long as 2meelewa.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ikiwa Uchaguzi 2015 Utaahirishwa, Nani kunufaika kati ya CHADEMA na CCM?

    hyo tittle mkuu its unrelevant 2 contents
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    thanx bro, i'll do it.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    Bro nahtaj ushaur wako, plz plz nsaidie, pia cna m2 wa kun-guide coz home mm ndo wa 1 kusoma.
  7. K

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Upo mitaa gan mkuu?, chanji, bangwe, majengo, katandala, kantalamba, kizwite, or where!
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    Sawa mkuu, naheshimu sana mawazo yenu, nashukuru sana.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    ahsante sana mkuu kwa ushauri.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    Mkuu tatzo sio kwenda shule, tatzo ni kwamba naenda kusoma nn!, nlikuwa nmejpanga vzur sana kwa PCB na n masomo ninayo yaweza, naweza kusoma PCB bila kulazmishwa, lkn kwenye hyo shule hakuna comb ya sayanc hata 1.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    Advance nlikuwa napenda tena sana2, bt selection zmebadlisha dira ya maisha yangu, nimepangwa HGE, shule moja hv iko TUKUYU, ningeweza kwenda kubadlisha comb, lkn shule hiyo ina art pekee, swala la uhamisho cna referee, kwenda private sina uwezo, nikienda kusoma hiyo comb ntakuwa nadangaya Taifa...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Watoto wa viongozi wa CHADEMA wanasoma shule zipi?

    hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

    Chadema n km housing ya cm mpya, imefcha machine ya ndani, ila cku itakapo chakaa ndio 2tajua waliomo na wasio kuwemo
  14. K

    JamiiForums Tanzania Professional PHYSICS teacher available -A LEVEL

    Qn1. Why charged particles r insulators and uncharged particles r conductors?
  15. K

    JamiiForums Tanzania Professional PHYSICS teacher available -A LEVEL

    ahaaah!, kwenye paper cwez kutoa jbu pekee, njia n lazma.
Back
Top Bottom