Recent content by Kelvin Diego Costa

  1. Kelvin Diego Costa

    Askofu Bagonza: Hoja hufungwa kwa hoja, si kwa kifungo wala mahabusu

    Askofu katiririka kwa Maneno kuntu
  2. Kelvin Diego Costa

    Rais Magufuli: Tunaweza kuingia kwenye machafuko kama yale ya Rwanda

    Daaaa kweli kazi ngojea Nile kwanza nitarudi sieleei alichoongea
  3. Kelvin Diego Costa

    Mh Rais, achia pesa tunakufa njaa mitaani huku

    Nimekutana na wamasai wanasema hela imeshikwa hasira yani ngumu haionekani
  4. Kelvin Diego Costa

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    0712464376 add me pls
  5. Kelvin Diego Costa

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Kaka mungu akubariki asante sana maana nimeangaika sana na nashukuru kitu kimeonyesha fresh
  6. Kelvin Diego Costa

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Mm naomba mnitumie zip au file la startv tu coz azam nimefanikiwa kuiweka
  7. Kelvin Diego Costa

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Jamani nimeshindwa ku add startv na azam kama kunamtu Ana zip file anitumie
  8. Kelvin Diego Costa

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Nisaidieni jamani Magufuli anagombea Ubunge au Urais
  9. Kelvin Diego Costa

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Tbc hapa nilikuwa nasikiliza now hawataji ukawa wanataja nguvu fulani baada ya kusema vinanguvu kubwa wakaminya sauti kubwa haikusikika kweli TBC Ukawa wakichukua nchi basi kazi hawana wote
  10. Kelvin Diego Costa

    GE2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    Kweli nitamchagua kiongozi na sio Menager kama Morinho
  11. Kelvin Diego Costa

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Kweli kada wewe CCM naona unamaumivu unajiuliza october itakuaje
  12. Kelvin Diego Costa

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Awapi haiwezi ikabaki salama maana inaonyesha kadri siku zinavyozidi ndio hali inakuwa mbaya
  13. Kelvin Diego Costa

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Mtoa post atakuwa katumwa na CCM maana ametoa taarifa kwa kuanza kuponda na kuingiza porojo nyingi
Back
Top Bottom