Ndugu zangu wa Jamii,
Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur.
Asanteni sana
Amen! ni wazi kuwa wanawake wengi wameli miss agizo hili na hatimaye ndoa nyingi huvunjika. Utii ni saikolojia ndogo sana ambayo inaweza kumlainisha mwanaume yoyote yule ata awe mkali vipi atakuwa mpole kama kondoo na hata watu wanaweza dhani limbwata kumbe siri ni ndogo sana. utii
Du! si mchezo! hii inanikumbusha wakati fulani nilipokuwa Hong Kong, kuna sehem inaitwa Chung king Mansion wadada wengi toka Africa wanajiuza waziwazi. Inasikitisha sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.