Recent content by kelebhe

  1. K

    Ya Membe hayakuwa Mahojiano, yalikuwa majadiliano. CCM inamhitaji Membe sasa kuliko wakati mwingine wowote!

    Membe anaijua siasa na ccm kwa ujumla hata hao waliokuwa wanajadiliana nae ilikuwa Ni kutimiza ti wajibu
  2. K

    Taifa lipo ila watu wanapita

    Anachokufanya Mbunge wa Hai Mheshimiwa Mbowe kuomba maridhiano kabla ya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ni jambo la msingi sana. Ni suala ambalo linatakiwa kuchukuliwa kama ukomavu wa kifikra na sio udhaifu katika uongozi. Mbowe ameangalia mbali sana kwa sababu anachokiangalia ni taifa...
  3. K

    Nancy Pelosi vs Job Ndugai

    Kama spika wa bunge alishindwa kukemea live kauli ya bulembo juu ya zitto, kauli ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ndugu profesa Hasaard ya kwamba bunge Ni dhaifu itaendelea kuthibitika pasipo shaka
  4. K

    Mtu mwenye msimamo

    Ujasiri unajengwa hauji tu kutoka angani, kujiamini kwa membe kunatokana na hatua na mchakato wa maisha aliyopitia, kwa vijana walio wengi maisha hayawapi nafasi ya kujenga uwezo wa kujiamini badala yake wanabakia kuwa submissive kwa masters wao.
  5. K

    Zitto Kabwe Mtegoni

    [QUOTE="Erythrocyte, post: 34307124, member: 1092 Kwa maneno hayo tunachelea kuamini ya kwamba baadhi ya watu wenye kesi za uhujumu uchumi pengine ilitokana na hali Kama hii ya kwenda kinyume na fikra za bwana mkubwa
  6. K

    Umoja wa Ulaya wazungumzia kifo cha Lwajabe

    Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina
  7. K

    Zitto ataka ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama inayohusu shambulio la Lissu iwekwe wazi

    Haya ndo mambo ambayo tulitegemea wabunge wote was upinzani kwa umoja wao wasshinikoze vitu Kama hivi ili haki iweze kutendeka, kukaa kimya kunawapata wahusika wa tukio hili wanaochunguza kukaa kimya na pengine kuacha kabisa zoezi la uchunguzi, kuna vitu ambavyo vinatakiwa kushinikiza ili...
  8. K

    Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

    Hivi huyu makonda ni nani zaidi ya Kuwa mkuu wa mkoa, maana kuna matukio maovu ambayo anahusishwa nayo lakini hatuoni jitihada zozote zinazofanyika juu yake, kwa mfano kuna shutuma ya kuvamia ofisi za clouds media, pamoja na shutuma zilizotolewa na taifa la marekani, hizo Ni baadhi tu lakini...
  9. K

    Askofu Mwamakula: Sio kazi ya Wabunge kupendekeza kuuawa kwa Mbunge mwenzao na ajabu Spika ndio anaendesha mjadala wa mauaji

    Kitu ambacho bulembo alitakiwa kusema kutoka katika barua ya zitto ni uthibitisho unaoonyesha ya kwamba zitto amesaliti, aseme waziwazi ni kioepengele gani zitto aliandika uongo. Bulembo anahangaika na zitto lakini hasemi hoja zake. Wabunge Kama hawa ndo wanalipa taifa wakati mgumu sana maana...
  10. K

    Wazee wa Kigoma wasimama na Zitto na kutoa tamko dhidi ta Spika na Bunge

    Ajsante sana wazee wa kigoma kwa kuona mbali katika Hilo, hakika kauli ya bulembo Kama mbunge kutoa maneno Kama hayo Tena bungeni mbele ya spika wa bunge na spika kukaa kimya bila kuingilia Kati Ni dhahiri shahiri ya kwamba bunge linabariki kitendo hicho
  11. K

    Kabla CCM hawajaanuka kutoka madarakani, mtarajie mambo haya

    Hayo ndo madhara ya kuzuia watu kuzungumza waliyo nayo moyoni, mwanadamu siku zote akikosa uhuru wa kuzungumza anatafuta njia mbadala ya kuweza kufikisha aliyonayo moyoni, na hiki kilichotokea kwa zitto ndo madhara yake, laiti Kama wapinzani wangekuwa wanapewa nafasi ya kufanya mikutano ya...
  12. K

    Hivi Makonda alipokuwa anatenda uhalifu wake viongozi wakuu wa Nchi kama Rais na Waziri Mkuu hawakuwa na Taarifa? Hawakujua ama hawakufahamu?

    Kuna madhara makubwa Sana juu ya kauli hi iliyotolewa na nchi ya marekani kuhusu kuzuia mkuu wa mkoa wa dar ndugu makonda kukanyaga ardhi ya marekani, ifahamike tu ya kwamba marekani Ni nchi kubwa sana duniani, kwa taarifa hii hata nchi nyingine zitaanza kufuatilia kauli hi ya marekani ili wajue...
  13. K

    Mama Rwakatare kupiga makofi bungeni kuunga mkono ya msaliti auawe kunatufundisha nini?

    Huyo mama hajitambui na anahangaika na laana ya msaada aliopewa kwa ajili ya kusaidia watoto wasiojiweza yeye kajenga shule na kufanya kama sehemu ya biashara, binafsi sijawahi kuona Kama huyu mama anajitambua
  14. K

    Kitendo cha kiongozi wa nchi kuzuiliwa kuingia Marekani kina athari gani? Ni adhabu?

    Kabisaaaa, Ni hatari Sana kuwekewa vikwazo vya kuongia nchi kubwa Kama marekani, maana kwa Sasa kuna nchi nyingine kwa Sasa zinataka kujua Ni sababu gani huyo bwaba bashite kafanya Hadi kuzuiliwa kuingia nchi ya marekani na kama wakibanini ya kwamba kuna ukiukwaji wa mambo mengi yanayohusu...
Back
Top Bottom