Recent content by keiwhy

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maumivu mengine kwa Kenya

    Hilo wasema wewe mnachukiwa sababu ya undumilakuwili wenu na tabia zenu za wizi
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kitanda kinauzwa bei chee!

    Hiki ndo kitanda hakizai haram
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maumivu mengine kwa Kenya

    Na ukaja kujichimbia huku hahhaha hopeless sana ndo muone jinsi mnavyopenda kujikomba
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maumivu mengine kwa Kenya

    A threat kwa wezi wote
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maumivu mengine kwa Kenya

    Anaeongea unaweza sema anatokea nchi kama Sweden hivi kumbe yupo hapo kibera tu anapigika na msoto......Wakenya mnatakiwa mjue WaTanzania hawawaogopi ila wanawachukia mda mwingine mjue kutofautisha hilo kuchukiwa na kuogopwa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Nyinyi si makamanda ingieni uwanjani mjilinde wenyewe na polisi nao watafanya yao.........kwa sasa kila mtu apambane na hali yake
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kuku kuroiler kwa bei ya elfu 12

    Kuroiler wanapatikana Tuangoma kigamboni kwa elfu 12
  8. K

    JamiiForums Tanzania Faiza afunguka vilivyo kuhusu Sugu kuoa

    Dah kuanzia leo naacha kunywa hku uswaz mana ndo kama pombe itanfanya niopoe kitu kama hiki bora niache
Back
Top Bottom