Kiwango na malengo ya Elimu itolewayo ndo tofauti. Shuleni elimu inayotolewa ni kwa ajili kuzijua kanuni na nadharia kadhaa za masomo mbalimbali, ila chuoni hutolewa elimu yenye lengo la kuendelea kukuza nadharia za awali na kupanua maarifa zaidi kwa kuhusianisha hizo nadharia na vitendo. Kwa...
Mkuu Magnificent, sorry sijakuelewa unaponiuliza... kama nina mke kweli mimi!... je, wewe unadhani sina mke kwa maana kuwa ninawadanganya wana jf?.. au ninaye mke asiye wa kawaida? au ni nini hasa!?... Nifafanulie tafadhali.
Nawashukuruni nyote mlotumia muda wenu kunipa ushauri. Kwa kweli baada ya kuzisoma reply zenu nimekuwa na matumaini kuwa tatizo litaweza kuisha hata kama ni kwa muda mrefu. Nitarudi kuwapa matokeo zaidi.
Ninaomba msaada wa kitaalamu. Nimeshindwa kujua kama ni uke wa wife ndo umepanuka au mie ndo nina kibamia! Huu ni mwaka wa 10 ndani ya ndoa tuna watoto 4 na tayari tumefunga uzazi miaka 3 ilopita. Mwenzangu hunilaumu simridhishi. nami nahisi sipati raha halisi na hivo napiga kamoja tu na...
Msaada unahitajika wa jinsi ya kumwokoa huyu mwl wa taaluma mwenye tabia ya kuwataka kimapenzi wanafunzi wa kike ktk sekondari hii. Nikiwa mwl wa nidhamu nilimwita faragha na kumwonya kwa kumweleza madhara na athari ya tabia yake hiyo. Alitulia kidogo tu, hakubadilika bali kabadili tu mbinu...
Msaada unahitajika wa jinsi ya kumwokoa huyu mwl wa taaluma mwenye tabia ya kuwataka kimapenzi wanafunzi wa kike ktk sekondari hii. Nikiwa mwl wa nidhamu nilimwita faragha na kumwonya kwa kumweleza madhara na athari ya tabia yake hiyo. Alitulia kidogo tu, hakubadilika bali kabadili tu mbinu...
Niko Tarime, ni mwl sekondari. napenda kuhamia wilaya ya NYAMAGANA au ILEMELA. kama uko tayari kuhamia TARIME, basi gharama zote za kushughulikia mchakato nitalipia mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.