Kajinunulia mwenyewe Ila anataka kujifanya kanunuliwa an sugu..yeye ndio anamuhonga sugu, sugu huwa hatoi hela kwa mwanamke hata iwaje,. Huyo dada ndio anagharamia vitu vingi vya sugu,. Wema wanna be,sioni tofauti yake na faiza angekuwa mstaarabu asingekuwa anamtukana faiza kwa account...
Asante sana,.nimetoka kumwambia mtu jana hii inshu,.binafsi siwezi kuolewa na mtu ambaye anadhani ananifanyia favor kunioa nataka mtu ambaye atanipenda na anahitaji tujenge family pamoja, no hayo Tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.