Huyu jamaa anapenda udini Sana yaaan Uzi zake zote ni uislam na yeye nini shida bila kujua anapandikiza chuki mbaya zaidi mtu ukiongelea vibaya Imani yake lazima aje juu si kitu kizuri hata kidogo amini unachoamini na sio kupondea imani ya mwenzako
Unaandika kitu ambacho hukijuii kabisa na hiyo Quran yenyewe huijui iyo nguvu ya kuandika uongo umeitolea wapi kwenye Quran imewaandika wayahudi na sio iyo nchi unaizungumzia na kwa sababu Quran ni kitabu ambacho hakina Shaka ndani yake kimekusanya ukwel mtupu na hao wayahudi unajua...
Na pale hmn ujenzi umefanyika kwny zile frem hmn hata frem moja iliyojengwa kwa kulingana na hadhi ya taasisi husika zimejengwa km vifremu vya tandika uko very poor Standard no design hadi construction yake ni ovyo kbs yaan unaona kbs hapa lengo ni kujaza hivi vibanda vya kutosha kuzunguka fence...
Umewaza km Mimi kila nikipita pale nasema mhhh these people are not serious taasisi nyeti km hiii wanavutia muingiliano wa watu manake nimeona hadi pub pale ni hatari Sana hata ni kujikwamua au kujiongezea njia nyngne ya kipato hpn aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.