Recent content by Kebanuzi

  1. Kebanuzi

    Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

    Kabisa! dogo ni mshamba na limbukeni haswaa
  2. Kebanuzi

    Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

    Huyu alikuwa balozi wao Crdb? Wakati wanairpromote Tembo card. Aliwachukulia poa, ngoja wamnyooshe
  3. Kebanuzi

    Mufti Zubeir: Serikali inunue chombo cha kutazamia mwezi

    Enzi za Sheikh Mkuu Mufti Hemed Juma Bin Hemed, hakukuwa na hizi habari za mwezi lazima uonekane Tanzania. Enzi zake mwezi ukiandama Saudi Arabia yeye huku anatangaza Eid. Na maisha yalikuwa yanasonga. Tofauti na sasa hivi, siasa imeingia mpaka kwa mufti na Bakwata yake.
  4. Kebanuzi

    Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

    Nitachangia kama ulivyo-outline 1) Bei za viwanja Goba inaweza kuwa juu kidogo ukilinganisha na Kigamboni . 2) Huduma za Kijamii Goba ina access options nyingi kuliko Kigamboni kutokana kuzungukwa na maeneo jirani yaliyokwishajengeka kitambo kabla ya Goba ku-pick up. 3) Usalama ni subjective...
  5. Kebanuzi

    Gharama vifaa vya umeme kwa Dar es Salaam

    Mkuu nitakufuta umenigusa hapa
Back
Top Bottom