Story ipo hivi kulikuwa na mdada ambaye alizaa na kaka yangu wakaja wakaachana. Huyo dada alikuwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto wa kike. Dogo huyo mi ndo natembea nae.
Jamani nyie mnanishauri vipi? Niendelee na mahusiano naye coz tunapendana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.