nipo idara ya msingi, natafuta mwalimu wa kubadilishana nae, yeye aje Kilwa (Lindi) na mimi niende Singida manispaa. Tuwasiliane kupitia 0755015152 au 0673615848
jamani kwenye masuala ya pesa akna uaminifu, siwezi kumpa pin za ATM zangu ila turud kwenye maada,nipende kushukuru kwa ushauri wenu kwan baadhi ya mawazo yamenijenga na xoon nitawapa feedback. thanx all
Ndugu zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mfano; kumuachia simu yangu nikiwa nae, whatxap yangu yupo free, password ya FB, instargram zote anazijua.
Napenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa...
Kwa yeyote aliyeko tayari tubadilishane kituo cha kazi, mimi ni mwalimu idara ya sekondari nipo SINGIDA nataka kwenda KIGOMA especially KIBONDO au KASULU. Kama upo tayar nicheki kpitia 0755015152
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.