Mke wangu haniamini, nifanyaje?

Mke wangu haniamini, nifanyaje?

Haya mapenzi ya aina hii niliyapractice nikiwa darasa la nne.
 
Bora huyo umempa password wengine password zao zimefichwaa balaaa halaf wanataka za wenzao wawe nazo kha!!!!!
 
Mbona kichwa cha habari kinapingana na maelezo ya uzi?
Mke ni tofauti na ''wife to be'' huyo bado ni mchumba
kama mchumba hakuamini,mkiingia kwenye ndoa ndo balaa.
Nakushauri tafuta anayekuamini,pia jirekebishe maana kama wewe ni kipanga
hata huyo wa pili hatakuamini.
 
Usiwasikilize hawa wakurya humu ndani wasiojua malovee.endelea kumpet pet wife to be hivyo hivyo.anakupenda na wala hamaanishi anapretend tuu kuwa hakuamini.

Pole,kwa jambo usilolijua,ukiona mtu hakuamini na unajua iko poa,jua anafikiri akifanyacho yeye na wewe inakifanya,huyo dada sio mwaminifu mchunguze,but umefanya maamuzi mabovu sana mwanamke haaminishwi kwa kupewa hivyo ilivyosema,be a man mwambie kama hakuamini basi achukue maamuzi mengine umechoka nakuhakikishia utaona changes.
Huyu anaesema kurya hatujui love ailize madada zake wanaume tomantic na wanaojua kucare ni kabila gani atapata jibu.
 
Ndugu zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mfano; kumuachia simu yangu nikiwa nae, whatxap yangu yupo free, password ya FB, instargram zote anazijua, kupenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa. Mwenzenu cjui nifanyeje, msaada wenu pliz kuokoa mahusiano yangu.

Huyo ni mtaalamu sana Wa cheat.anafikir anachofanya yy nawe unafanya
 
Ndugu zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mfano; kumuachia simu yangu nikiwa nae, whatxap yangu yupo free, password ya FB, instargram zote anazijua, kupenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa. Mwenzenu cjui nifanyeje, msaada wenu pliz kuokoa mahusiano yangu.

ina maana anakuambia tu sikuamini au kuna maeneo ambayo anaonyesha yanamtia mashaka? kama yapo na yanaweza kurekebishwa basi yarekebidshe..kama ni simply tu hakuamini basi ni hivi:

Jeshini tuna kitu kinaitwa "creating diversions" sasa hiyo kakutengenezea wewe ili focus iwe kwako tu..badala ya kum-analyse yeye you will always be busy kumdhihirishia kuwa you are clean and in the mean time yeye huku watu wanakula kidot

Keshakuona juha maana inaonekana kila analotaka linafuatwa..simama kama mwanaume sasa..ikishindikana basi mpige chini maana sasa hamna jinsi wala corduroy.
 
jamani kwenye masuala ya pesa akna uaminifu, siwezi kumpa pin za ATM zangu ila turud kwenye maada,nipende kushukuru kwa ushauri wenu kwan baadhi ya mawazo yamenijenga na xoon nitawapa feedback. thanx all
 
kwani ameshawahi kukukamata na kosa la usaliti?
 
ina maana anakuambia tu sikuamini au kuna maeneo ambayo anaonyesha yanamtia mashaka? kama yapo na yanaweza kurekebishwa basi yarekebidshe..kama ni simply tu hakuamini basi ni hivi:

Jeshini tuna kitu kinaitwa "creating diversions" sasa hiyo kakutengenezea wewe ili focus iwe kwako tu..badala ya kum-analyse yeye you will always be busy kumdhihirishia kuwa you are clean and in the mean time yeye huku watu wanakula kidot

Keshakuona juha maana inaonekana kila analotaka linafuatwa..simama kama mwanaume sasa..ikishindikana basi mpige chini maana sasa hamna jinsi wala corduroy.


Unaakili sana,asante
 
Back
Top Bottom