Recent content by kazikuboma

  1. K

    Mke anashindana kila kitu na mimi!

    Wewe huna ndoa hapo,kama mwenzio kasafiri wiki 2 tu tayari umehamia kwa mchepuko hii ni hatari sana kijana,hapo heshima ya ndoa haipo,pia dishi lako halishki mtandao sawa2
  2. K

    Girlfriend wangu ananiendesha kweli,Kichwa kinanivuruga sasa

    Huyo ni rafiki tu sio mkeo,achana nae pia shukuru kakuweka wazi kabla hamjaoana,
  3. K

    Naomba Ushauri: Mchepuko anataka kunipangia nyumba na kunipa gari

    Tambua thamani ya ndoa yako na familia yako dunia ya leo inamajaribu mengi sana ukikosea hapo ipo siku utatelekeza familia yako,ata ivo kurun ni mke wa mtu ni risk sana.kama shida ni gari piga kazi weka mipango nunua la kwako,wengi tumewapoteza sababu ya tamaa kama hizo,hafu kuna mambo ya kuomba...
Back
Top Bottom