Nunua bodaboda 4 halfu funga mkataba wa miezi 13 kila pikipik iwe inaingiza 10000 kila siku.hakikisha mkataba wako unahusisha mamlaka ya kiserikal baada ya mwaka utakuwa bodaboda zaidi ya hizo pesa ya ziada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.