Recent content by Kayumbo Mohamed Kabutali

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

    Tanganyika yenyewe inakaliwa kimabavu na CCM itaikaliaje kimabavu Zanzibar labda wote kwa pamoja tuilaani na kuikemea CCM iache kuzikalia kimabavu Tanganyika na Zanzibar maana wote tu wagonjwa tofauti yetu ni wodi mmoja yuko BIMA mwingine za walalahoi halafu tunalaumiana tunamwacha mkoloni wetu CCM
  2. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tanzania yaongoza kwa Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya habari kwa Afrika Mashariki

    Inasaidia nini watanzania hivi vinavyoandika kwa maelekezo na kutoa habari za upande mmoja hatuna vyombo vya habari Tanzania zaidi ya mitandao binafsi na wengi wao si wanahabari wanaliokoa Sana Taifa letu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kwani Zitto hajui kuwa Muungano ni Tanganyika na sio Zanzibar waliovua Gamba la Tanganyika na kujiita Muungano ni Tanganyika Zanzibar ni Taifa huru. asituletee uongo wa kisiasa kuwa kuna Muungano ndio hao watanganyika anaosema Fatma Karume kuwa hawajitabui
  4. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sisty Nyahoza: Vyama vya siasa vimshukuru Rais Samia kwa kufungua Milango ya kufanyika kwa Mikutano na kudumisha Demokrasia

    Sio kweli wakushukuliwa ni hayati Mzee Mwinyi alieruhusu demokrasia nchini na kufuta azimio la Arusha la ukandamizaji na kuleta azimio la Zanzibar na kuweka kwenye katiba ya nchi na Sheria mbali mbali za nchi hawa wengine ni uvunjanji wa sheria za nchi kukolindwa na kuungwa mkono na CCM
  5. K

    JamiiForums Tanzania Siasa za CCM ndio zinapelekea tatizo la Umeme lisiishe nchini

    Siasa za CCM ndio zinapelekea tatizo la Umeme nchini lisiishe kwani maamuzi makubwa na ya kitaalamu yanaamriwa kisasa, na mpaka sasa CCM hawajawahi na hawatawahi kumaliza kabisa tatizo la umeme. Ukiangalia kwa makini maamuzi makubwa na ya kitaalamu yaliyoamriwa kisiasa ni pale miaka ya 90 CCM...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Bei za Mafuta ya Petroli na dizeli zashuka chini

    Kwani aliyepandisha kutoka 1600 mpaka 3200 ni nani au ni CHAUMMA acheni ujinga mbona hashushi sukari kakuta 2000 kwa kilo kaipeleka mpaka 4000 kwa kilo hamsemi akitoa shilingi moja zitaanza sifa katukuta watanzania mazezeta kisemo cha Ndugai
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kunyamaza kwa Rais Samia sio suluhisho kwa mkataba mbovu wa bandari zetu

    Ni kukiri/kukubali makosa kafanya
  8. K

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo wapendekeza suluhisho la kukabiliana na uhaba wa mafuta, CHADEMA wanazunguka kulaumu

    Uliambiwa chadema ni tawi la ccm kama ilivyo act na sio kazi yao wapinzania kuishauri ccm ili ifanye vzr ikifanya vzr ninyi mtakuwa na kazi gani ikiwa lengo la vyama kwenda ikulu kazi ya kusifia na kushauri ni ya maccm na taasisi zao kama act umoja wa vijana uwt wazazi nk sio kazi ya wapinzani...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mama Bonge wa Kariakoo asimama na Rais Samia Uwekezaji wa DP World Bandarini

    Yawezekana naye ni mwizi ndio maana anagombana na tpa na tra kwa wizi wake
  10. K

    JamiiForums Tanzania NET Group walipowekeza TANESCO tulifaidika au tuliibiwa?

    pia RITES kwenye reli yetu tulipata nini
  11. K

    JamiiForums Tanzania Jussa: Tanganyika kama hamtaki Muungano semeni Tugawane mbao hata sisi tumechoka, ya Bandari yenu sisi hayatuhusu!

    kama mmechoka ndio muuze mali/bandari zetu si muondoke tu na wizi wenu
Back
Top Bottom