And you totally believe kwamba Kitwanga aliingia Bungeni akiwa amelewa! That was a cooked up scene, kulikuwa na jambo kati yao probably kama ulivyosema tangu zamani and Magu settled a score kumuonyesha kwamba 'I am the President' mambo ya urafiki na kujiona ni bora kuliko mimi it's all over.
Kiongozi mkubwa kutoka CCM kwenda UPINZANI kudumu huwa ngumu kwa sababu ya kuminywa mirija yake na Serikali. Sumaye walimpiga pini mashamba na baadhi ya biashara, ikabidi ainue mikono juu.
Kuwa upinzani nchi hii ni jambo gumu sana sana.
Ushungi anaamini 'John Mbatizaji' alikuwa na chuki zenye mlengo wa kidini na 'mawazo' dhidi ya watu. Ndiyo maana yeye 'ushungi' amewarudisha baadhi na kuteua wenye 'vibaraghashia' kwa wingi.
CCM don't need smart people kichwani.
Habari wanajamvi, poleni kwa majukumu ya siku. Naleta kwenu ombi hili ili kuweza kunipatia msaada wa usafiri kutoka Dar Es Salaam kwenda Tabora. Nimepitia changamoto nyingi kwa muda sasa nimekuwa na nyakati ngumu sana hivyo nimefanya uamuzi wa kurudi kwanza kijijini Tabora.
Naomba kupata msaada...
Ulinzi wa wagombea kiti cha Urais ni takwa la kisheria siyo hitaji la TISS au CCM, ipo hivyo Duniani kote. Pili kupatiwa ulinzi na adui yako haina maana kwamba adui anayo nia njema dhidi yako, unaweza kupewa ulinzi ambao upo kwa ajili ya kukudhulu (inside job).
Basi nchi ipo uchi kiulinzi kama...
Fomu yako ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge wa Bunge la Afrika ya mashariki haijavuka mchakato unaanza kubeza ilani ya Chama kuhusu ujenzi wa miundombinu! JIWE alisimamia hili na Mama anaendelea, automatically ushaliwa kichwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.