Recent content by kawembe

  1. K

    UKAWA kutokuhudhuria katika misiba ya viongozi wa siasa

    Ukawa wanajua kila kitu,msiba mnageuza siasa subirini tar 26 saa 6 Mchana Itakuwa kwaresma /Ramadhani yenu mpaka midomo itanuka maana hamtakuwa na la kuongea,jitahidini kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa JPJM aka Tingatinga.
  2. K

    MABADILIKO- UKAWA vs MABORESHO- CCM.

    Ukawa kwisha habari yenu,chama cha mapinduzi kinaenda kurudi kwenye misingi yake na mwenye kuiweza hiyo kazi ni magufuli'ukawa na lowassa hakuna mwenye ubavu wa kukemea chochote -wezi watupu.
  3. K

    Hofu ya CCM kuondolewa madarakani ipo dhahiri baada ya wananchi kuelewa sera za wapinzani kuziamini

    Ukawa na Chadema hamna mashiko wala sera za kuiondoa CCM ya Magufuli Madarakani,Jiandaeni tu kuwapigia ACT wawabebe,vinginevyo baada ya uchaguzi najua kuna watu mtakimbia nchi kwa kuhofia Tingatinga na nasema ukweli kabisa,Magufuli atawafunga Mkaharishie magerezani,Baada ya kuapishwa cha...
  4. K

    Maamuzi ya CHADEMA Asilia

    Haya Mambo yapo vyama vyote,Hata CCM mfumo hawamtaki JPM watampigia Lowassa nahisi hata Kikwete hayuko salama kwa Magufuli lakini kwa Lowassa.
  5. K

    Mwili wa Mhe. Celina Kombani waagwa viwanja vya Karimjee, Dr. Bilali aongoza wananchi kuomboleza

    Utamaduni huu umeharibiwa na ujuaji wa watu wa UPINZANI this is not fair mtu amekufa bado unamsema vibaya haipendezi.
  6. K

    Mgogoro mkubwa kuibuka CCM baada ya Okt 28, 2015

    Hahaa,mtasema sana na mtajivika Unape mwaka huu lakini Chadema ikulu hamuwezi kuiona jiandaeni tu kisaikolojia kukubali matokeo lakini ndoto za kumshinda magufuli haiwezekani.
  7. K

    GE2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

    Afya kwanza Urais baadae,hata Lowasa nilimuona akionyesha makeke yake kwa kukimbilia helkopta iliyopo kwa ajili yake
  8. K

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Hahaa Chadema bwana,Kitu chochote kinachoonyesha tofauti na mawazo yenu ni feki na Mtu yeyote asiyekubaliana na mawazo yenu ni Msaliti,kuweni makini jamani wakati mwingine mkubali na mjifunze kukubali kujifunza.
  9. K

    CCM isipojipanga vizuri, inakwenda kufa kabisa kanda ya Ziwa.

    Umeona hali mbaya ya CCM ya Ukawa hauioni iliyo dhahiri mnaogombania majimbo kila mahali,wengine wamesahau hata wajibu wao baada ya kulewa pesa za ununuzi wa Chadema akamegewa anadhani amekuwa msemaji wa Chadema.(Mbwa wa alalaye hulinda kwa jirani angalieni ya kwenu(Ugonvi na kuishiwa hadi...
  10. K

    Dawa hospitali hakuna lakini mabilioni ya kupambana na UKAWA yapo, tunajuta!

    Hahaaaa,yale maringo ya kutuma picha yameisha,kuzizima bila picha haiwezekani tuwekeeni picha za jana make mna tabia ya kurudirudia za uzinduzi Dar
  11. K

    Mama Magufuli, nini kimekusibu?

    Mama magufuli hana ujivuni wa Pesa kwamba aache kufundisha watoto na aache kazi eti kwa sababu Mumewe anagombea ,magufuli hawezi kukubali kuandamana na mke aliyeajiriwa na Serikali hiyo ni kuvunja sheria Magufuli ni mtu wa kazi.Angeambatana naye tena mnge uliza ni nani anamshikia vipindi...
  12. K

    Shinyanga mjini, wafuasi wa Dr. Slaa wahama CHADEMA

    Kila kitu kikitokea wametumwa na CCM,yaani kweli nyie hata siku moja hamuwezi kukubali kuwa kweli kuna tatizooooo,Nkuhakikishieni kanda ya Ziwa hatununuliki na Ukawa ikulu mtaiona kwenye Video,pyuuuuuu.
  13. K

    Muarobaini wa ufisadi ni Katiba ya Wananchi

    MMeshaisigina kwa kuwaweka watu wasio na maadili,wapiga dili,kwa sasa hivi hamna uhalali tena wa kuitetea katiba ya wananchi hata Jaji Warioba aliwashitukia akaachana na ninyi.
Back
Top Bottom