Recent content by Kavishe Jo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

    We should Trust in GOD (THE KING OF KING) instead of the king of duckness. Mungu atunusuru maana TZ inaelekea pabaya na mfumo wa siasa mbovu.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wasindikizaji wa msafara wa Lema watawanywa na Polisi mkoani Manyara

    Arusha iwll b'me (sitri- libya ) in tz?
  3. K

    JamiiForums Tanzania CV ya Anna Makinda (spika wetu) ni hii HAPA

    ndio maana Bunge linapitisha mambo yasiyofaa, na wanapoinuka wa kuyapinga wanaambiwa ni wahuni. Hata akiletewa mswada wenye mateminology ya kisheria atayajulia wapiii.....?
  4. K

    JamiiForums Tanzania CCM/CUF washambulia Wanaharakati- CDM wapinga kupitisha Mswada wa Mapitio ya Katiba

    By then, anatakiwa awaoneshe Watanzania pamoja na kuwa MP, alipewa ubunge na wahuni kwa kuwa Watanzania wote tunahusiana kwa namna moja ama nyingine. KINACHOZALIWA NA UCHAWI, haiwezekani kutenganishwa na UCHAWI WENYEWE. Watanzania wengi wanategemea maneno kama hayo na wataendelea kuyategemea.
  5. K

    JamiiForums Tanzania CCM/CUF washambulia Wanaharakati- CDM wapinga kupitisha Mswada wa Mapitio ya Katiba

    Kwa kusema JUKWAA LA KATIBA ni wahuni, alipaswa kueleza umma alichokusudia, lakini pia kufuta kauli kwa kusema ana uchungu, anapaswa kuweka wazi ni uchungu gani. Maana labda ni uchungu wa kutamani kuona Machafuko au umwagaji wa damu kama ailvyozoea kuleee.... Sooomaaaa......
Back
Top Bottom