CCM/CUF washambulia Wanaharakati- CDM wapinga kupitisha Mswada wa Mapitio ya Katiba

wameshindwa kupambana nae kwa vifungu,wamebaki kusema hovyo. Mwisho wa siku wananchi ndo waamuzi maana wanaona yanayoendelea
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Pole sana Lissu...hizo ndizo faida za kujidai kiherehere
Tuko level nyingine tunapigania utaifa na wewe endelea kupigania uchama ila tunakuwakilisha wewe na familia yako katika harakati hizi za kitaifa na sio za kichama.
 
Mh Rage wakati akichangia bungeni amesema jukwaa la katiba ni wahuni maana wanafanya kazi ya kukusanya maoni ya watz na wakati hawajachaguliwa na wananchi. anasema wanapokonya kazi ya wabunge amba ndio waliochaguliwa na wananchi.
Makinda kamwambia aondoe hayo maneno ya wahuni na ameyaondoa!
Source TBC

Huu ni ujumbe wa watanzania wote mumjue vizuri Tundu Lisu.

wakati wa Mwinyi Tundu Lisu ndie alie ibua watu kufukiwa kwenye migodi huko shinyanga bulyankuru

JK Rais wa awamu ya nne alitamka na watu walisikia kuwa ni Bora yeye ashindwe Urais kuliko Tundu Lisu kuwa mbunge.

Leo we Rage Ulizamisha FAT uongozi wako tu wa kutambia ulifanya nini kukuza vipaji vya mpira tukakuelewa huna la kujitetea kwa hilo Toka 90's mrisha shauliwa mkuze vipaji vya wajezaji wa age ya 11 ha 25 hamkufanya leo hii unajua nini Maana ya sheria ya katiba wewe Ragge wasomi wakikosoa serikali mwaingiza utashi wa kisiasa te ni wa ki CCM.
 
Huwezi hata siku moja kumfanisha Hamad rashid na Tindu lissu. Kwani hakuna cha japo kushabihiana wala kukaribiana kwani Hamad yupo juu kwa kila kitu.

Labda Lissu unaweza kumfananisha na Ismail Jussa na hata huyo hamuwezi. Lissu ni hasira na jazba tu lakini hawezi lolote.
Yap_hapo kwenye blue.......
1.Lissu ana mke mmoja wakati Hamad ana wake wawili
2.Lissu ana uchungu na nchi wakati Hamad anaganga njaa ya tumbo la familia yake
3.Lissu anatoka bara kwa wapambanaji wa maisha wakati Hamad katoka Zanzibar...sijui
4.Lissu ni mkweli wakati Hamad ametawaliwa na unafiki na chuki sababu kanyimwa ka_cheo kwanye kambi ya upinzani.

etc,....etc,...etc
 
absolutely

Mara nyingi mjibu hoja anayeacha kujibu hoja husika na kuattack personality ya mtoa hoja inaamanisha kuwa mjibu hoja huyo amepanic kwa ukweli alioambiwa na mtoa hoja, na uropokaji wa namna hiyo mbele ya kikao cha msingi cha mbunge kunadhihirisha kuwa wajibu hoja hawa ambao ni wabunge hawa wa CCM wanasumbuliwa na tatizo la political tolerence, political immaturity.
 
Lissu amewashika pabaya CCM wanahangaika.
Ukiwa na LISSU kumi lazima nchi isonge mbele

Tundu Lissu CV
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\c lip_image002.jpg
First Name:Tundu
Middle Name:Antiphas Mughwai
Last Name:Lissu
Member Type:Constituency Member
Constituent:Singida Mashariki
Political Party:CHADEMA
Office Location:Box 21746, Dar Es Salaam
Office Phone:+255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth


EDUCATIONS
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Mahambe Primary SchoolPrimary Education19761982PRIMARY
Ilboru Secondary SchoolO-Level Education19831986SECONDARY
Galanos Secondary SchoolA-Level Education19871989HIGH SCHOOL
University of Dar Es SalaamLLB19911994GRADUATE
University of Warwick, UKLLM19951996MASTERS DEGREE


CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No.IssuedExpires
No items on list


EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFrom DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Singida West Constituency20102015
Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)Director of Researcher20032008
The World Resources Institute (WRI), USAResearcher19992002
Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)Researcher19981999
D'Souza ChambersAdvocates19941997
Bondeni Secondary SchoolTeacher19901991


POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
CHADEMADirector of Law2004
NCCR-MageuziMember of Parliament Candidate1995


PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
No items on list


SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level
No items on list

 
Wanategemea UCHAWI mganga wao kawaambia hakuna wa kuwagusa.Nchi kwa sasa inaendeshwa kishetani imekabidhiwa kwa mapepo ndiyo maana CCM wanajiona wako juu ya sheria.Lakinu Mungu amekwisha ona si muda nchi yake ataiweka mikoni mwa wana wa Tanganyika
 
thanks

Yap_hapo kwenye blue.......
1.Lissu ana mke mmoja wakati Hamad ana wake wawili
2.Lissu ana uchungu na nchi wakati Hamad anaganga njaa ya tumbo la familia yake
3.Lissu anatoka bara kwa wapambanaji wa maisha wakati Hamad katoka Zanzibar...sijui
4.Lissu ni mkweli wakati Hamad ametawaliwa na unafiki na chuki sababu kanyimwa ka_cheo kwanye kambi ya upinzani.

etc,....etc,...etc
 
Katika muendelezo wa kujadili mchakato wa katiba mpya katika vikao vya bunge linaloendelea muheshimiwa na mbunge wa Singida bwana Tundu Lisu wabunge wa CCM wamemdhalilisha sana, haya ndio matamshi ambayo yametawala bungeni kwenda kwa muheshimiwa huyu:
  1. Hajui sheria
  2. Aje tumfundishe sheria tena tutamlipia.
  3. Amesomea sheria chini ya mti.
  4. Mwanaharakati feki.
  5. Eti anajifanya ni msomi aliyebobea.
  6. Anawadanganya wapiga kura wake.
  7. Anajifanya mwanasheria je kasomea wapi sheria?
Jamani bunge hili mbona kama naona ni bunge lenye majungu? wenzangu naomba kuwasilisha.

Kwa CCM msomi namba moja aliyebobea kuliko wote TZ ni "Dr." Kikwete; akifuatiwa na "Dr." Mrema.
 
ipo siku tutawatia mikononi na lazima tuwachomekee vijiti makalioni kwa namna walivyoihujumu hii nchi
 
Sidhani kama huyu Rage anaweza kuwa na uchungu na Tanzania maana watu wa aina yake hawana masilai na taifa bali masilai ya chacha cha magamba
 
By then, anatakiwa awaoneshe Watanzania pamoja na kuwa MP, alipewa ubunge na wahuni kwa kuwa Watanzania wote tunahusiana kwa namna moja ama nyingine. KINACHOZALIWA NA UCHAWI, haiwezekani kutenganishwa na UCHAWI WENYEWE.
Watanzania wengi wanategemea maneno kama hayo na wataendelea kuyategemea.
 
Mh Rage wakati akichangia bungeni amesema jukwaa la katiba ni wahuni maana wanafanya kazi ya kukusanya maoni ya watz na wakati hawajachaguliwa na wananchi. anasema wanapokonya kazi ya wabunge amba ndio waliochaguliwa na wananchi.
Makinda kamwambia aondoe hayo maneno ya wahuni na ameyaondoa!
Source TBC
Wanachi wanatakiwa wawe makini kwenye kuchagua wabunge wa kuwawakilisha, Juu ya hili la mswada wa katiba na maneno haya ya Rage angekuwa ni mbunge wangu ningejilaumu milele kwa kosa la kumpa kura yangu.
 
napendekeza lissu amwage cv yake, kisha ipelekwe kwenye vyombo vya habari isambazwe tanzania nzima. Kisha tuchukue cv za walimtukana, tuzipitie vizuri tulinganishe, tuone nani anawahadaa wananchi
I've got ya feelings, lakini there is a no contest here, the most important thing is he made a point, hebu nambie yale aliyo yazungumza kuna kasoro wapi, ukweli mtupu, hata wazanzibari wenyewe wanakubali, kama mtu alizingatia sura za hao CCM walipokuwa wanamsikiliza, pande mbili za muungano ni zipi? My take is wala msihangaike nao hao wanataka kuhamisha mawazo yenu kufikiria huo upuuzi na kuacha mambo muhimu aliyosisitiza ambayo kwa kweli siku moja yatawasha moto!
 
Huwezi hata siku moja kumfanisha Hamad rashid na Tindu lissu. Kwani hakuna cha japo kushabihiana wala kukaribiana kwani Hamad yupo juu kwa kila kitu.

Labda Lissu unaweza kumfananisha na Ismail Jussa na hata huyo hamuwezi. Lissu ni hasira na jazba tu lakini hawezi lolote.

Amepotesa muelekeo. amekuwa mechanical.
Yuko juu ya wapemba!
 
tundu lissu kasoma chuo kikuu dar es saalam, kakaa darasani, kafanya mitahani, maprofesa wamekubali anastahili kupata degree na wakampa kulingana na taratibu za kitaaluma. Na kazi za lissu kama mwanasheria zinajulikana. Kwa mbunge kama ole sendeka (na wenzake) kukejeli elimu ya lissu ni kwamba wana-doubt chuo kikuu cha dar es salaam, wana-doubt maprofresa waliothibitisha degree ya lissu. Mtu kama ole sendeka ana qualifications gani za kumfanya amkejeli lissu pamoja na chuo kikuu cha dar es saalam? (kudharu elimu ya lissu ni sawa na kusema udsm wanatoa elimu feki). Ole sendeka na cheti gani?

Tuende kwa rage. Huyu rage is a convicted criminal and he should be behind bars na sio kwenye chombo cha kutunga sheria!

Nimalizie na ccm. Kwa ujumla wao ccm hawana moral authority ya kuchallenge uanasheria wa lissu. Tangu lini wakajua sheria hawa ccm? Richmond, dowans, meremeta, deep green, kagoda,rada, ditopille, zombe - list ni ndefu, yote haya yamefanyika under the nose of ccm, wamefanya nini? Hii nchi imejaa manyang'anyi lakini ccm wanakaa kimya, leo hii wanapata wapi ujasiri wa kuengelea qualifications za mwanasheria wa viwango vya lissu? Hasa huyu school leaver ole sendeka?

Na kwa nini wajikite kumshambulia lissu (the person) badala ya hoja alizotoa? Wanajadili muswada au wanachambua uanasheria ya lissu? Inakuwaje spika anaruhusu wabunge kutumia kodi za watanzania kumjadili mtu badala ya kufanya kazi waliyotumwa? Tunafaidi nini sisi watanzania kwa kusikiliza wabunge wanazungumzia elimu ya mtu badala ya kujua muswada unafaa au haufai? Wameshindwa kuongoza nchi sasa wanajificha kwenye hoja za kujadili watu. Mufilisi wa kutupwa kabisa hawa ccm!


mnaona :ccm wanapoteza muda mwingi ccm walikuwa wanamuongelea mtu ( person) badala ya hoja alizowasilisha jamani hawa jamaa ( ccm ) walishajipanga kuwa liwalo na liwe lazima huu mswada upite haijalishi watz wanasema nini kwanza ( wana amini ) kuwa wapiga kura wao wote ni mambumbumbu wapo vijijini ambako hata access na information ni ngumu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wabunge wengi wa ccm wanasimama na kuwakashifu wabunge wa chadema na nccr kw wanaupinga mswada kufikishwa bungeni kwa mara ya 2 na wanapinga mamlaka makubwa aliyopewa rais wanasema hao ni wanafiki, napenda kuwatahadharisha wabunge wa ccm kuwa sisi wananch ndio mabos wao na TUNATAKA KUSHIRIKI kwenye mchakato mzima wa katiba anzia kwenye mswada,NA HATUAFIKI MSWADA KUSOMWA KWA MARA YA 2. HVY WASIENDELEE KUUJADILI MSWADA WARUDI KWETU TUNATAKA TUTOE MAONI YETU, wasiseme wao wanatuwakilisha kwenye hili HATUTAKI KUSEMEWA TUNATAKA TUSEME WENYEWE.
 
Back
Top Bottom