Recent content by kavillondo

  1. K

    Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

    Niliposikia kuna msiba mkubwa ccm nikajua labda nyoka mwenye makengeza ( chenge ) kumbe komba,, ila hata yeye poa tu,,, cheni ya mafisadi ipungue,,
  2. K

    Nini amekosa AY?

    Hahaaa poleni sana,, AY anakbalika sana Africa,, mond yuko hot kwa sasa,, lkn kimafanikio ya mziki hamkuti AY,,,
  3. K

    UKAWA: CCM wajiandae kwa anguko 2015

    Chama tawala cha ccm kimezidi kupoteza matumaini kwa watanzia mpaka sasa kuamua kukisusa na kuamua kuchagua viongozi wa vyama vya upinzani katika chaguzi ndogo tofauti na ilivyokuwa katika chaguzi zilizopita,,, hiyo ni ishara tosha kwamba mpaka kufikia uchaguzi mkuu 2015 , ccm itakuwa imefutika...
Back
Top Bottom