ushauri wako upo sawa ila uutumie kama point ya kujibia mtihani labda, coz kwa real life hamna iyo kitu.. hata ivo uo ni mkopo sio tunaombaomba msaada tu tunaurudisha hatupewi bure, so ni sawa na kujilipia tu, kua na wewe tuone utakavolipia wanao..
jaman source yangu ni major nlikutana nae makao makuu ya jkt jumatatu iliopita, aliniambia awamu ya tatu ipo na ni tar. 28 sept... ila lets wait, time wil tell bana.
hahahaha.. dont be soo sure, labda kuna weng wamepita kabla yako wewe ujawaona tu.. ebu tuambie kuhusu siku zilizofata baada ya pesa za shule kuisha, ilikuaje.. lol.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.