Recent content by katunzi89

  1. K

    Mkopo wa elimu ya juu (HESLB)

    Nimelipia elfu 30 ktk heslb nataka kucreate account nikibonyeza submit form inaload tu nashindwa kuendelea na mchakato hawa bodi. Nimewapigia simu Hawapokei simu zangu nimetuma adi katika instagram katika page yao wapo kimya sijui wanampango gani na mimi naomba msaada wenu
  2. K

    Msaada wa maombi ya mkopo demographic info (HESLB)

    Msaada nimekwama tena nimelipia elfu 30 ktk bodi ya mkopo.. nikija kucreate acount najaza pasword na neno siri inaload nikibonyeza submit namb yang ni s4461.0034.2020
  3. K

    Msaada wa maombi ya mkopo demographic info (HESLB)

    Habar vipi mtandao wa bodi ya mkopo umekaa sawa au imepatikana mbinu yoyot y kutatua tatzo
  4. K

    Msaada wa maombi ya mkopo demographic info (HESLB)

    Birth verification number ndo ile entry number au ile ya kwenye rita reference number mfan 20230456_BV
  5. K

    Msaada wa maombi ya mkopo demographic info (HESLB)

    sas tunaponakweli system ya bodi ya mkpo ipo down na mda wa kuomba unakalibia kuisha
  6. K

    Msaada wa maombi ya mkopo demographic info (HESLB)

    Msaada wa maombi ya mkopo wa elimu ya juu(HESLB) nilikuwa namuapplyia mkopo mdogo wangu sasa nimefika katika demograhic info nmejaza fomu vizur inalod tu ainipi murejesho naombeni msaada maana nimekwama siwezi endelea mbele.
  7. K

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Napambana sipati majibu, na huu mfumo ni jipu tu, hivi IT watz bado wanasua sua.
  8. K

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Mfumo wa ajira tamisemi unasumbua unatengeneza loop. Nimejisajili kila mda inaniambia log in, nikilog in inasema nihakiki na hakiki ikimaliza kuakiki inalud katika log in.
  9. K

    Msaada jinsi ya kuhama chuo kimoja kwenda kingine

    Naomb msaada nmechaguliwa dodoma nataka nihame niende Chuo kingne mfano IFM, NIT, DIT. Naenda Courses computer science nilichaguliwa Bachelar of science in information technology ======= Taarifa wa wale ambao wanahitaji transfer degree first year
  10. K

    Diploma to degree result

    Habari zenu...mbona diploma tcu/nacte awatupi maelezo yoyote kuhus matokeo yanatoka Lin..watu wanabun tu Mara tarehe 5 wengne kum adi wengne 15 kwanin wasiwe wawazi maana take kun Baadh vyuo vnaanza orientation weekend huu mf.udsm... Nacte/TCU tuoneeni Huruma tupen jap hata tareh husika... Kwan...
  11. K

    TCU Mtuangalie na sisi wa Diploma, mmetuweka wa Mwisho sana

    TCU wamesema watafungua tar 12 ad tar 23 lakini hadi Leo diploma hawajaona matokeo yao...second round imeanza.. TCU inamaana hawawaoni diploma kwanza no equality MUHAS diploma nafas 4 Kat ya 160... Diploma ktk nchi hii athaminiwi? kila kitu anawekwa wa mwisho... TCU muwe mnatuangalia na sisi...
  12. K

    Tcu vs No username or Password match

    nmepewa na password na username nikilog in inakataa inasema "No Username or Password matched your Entry, Check your Email box for correct Username and Password (Code 1009)" msaada...
Back
Top Bottom