Wewe ndio msukule kabisa, nadhani utakuwa umebakiwa na kumbukumbu ya kukupeleka chooni tu wakati wa haja kubwa. Umeonyesha ukame mkubwa sana wa maarifa kichwani mwako, kwahiyo waandishi wa habari ndio mliwaitia hicho? Kuwa ccm haijakaguliwa? Ila pamoja na kwamba kumbukumbu zako saiv zinakata...
Hawa watu sijui huwa wanatokea wapi? Mimi huwa siamini ktk karne hii kama kuna watu mazuzu wenye fikra kama za huyo jamaa, wanakaririshwa kutamka takwimu tu na wanasiasa uchwara kama kafulila, naye anakuja hapa na povu bila kuchuja. Waelewa tunamuona kama kachanganyikiwa
Nashukuru kujiweka wazi kuwa unaupeo mfupi sana juu ya kushindana kwa hoja, na nimekuelewa sasa kwamba wewe pengine muda si mrefu hata akili uliyokuwa umebakiza za kukumbusha wakati wa haja kubwa na kwenda chooni mwenyewe zitakata. Wahi kwa wataalam wa akili
Mkuu! Huyo jamaa ni zaidi ya msukule, achana naye tuendelea kuelimishana na watu wanaopenda kujifunza kama sisi. Ambao hapo awali tulikuwa nawasiwasi na nia yake ya kupunguza bei ya umeme, lakini baada ya kupata maelezo mazuri na kuijua vizuri nia yake kampuni ya Iptl sasa nasema hivi...
Huyo ni wakuhurumiwa tu, hajielewi kabisa mkuu. Na akiendelea na uzembe wake wakutojishughulisha ili ajenge nyumba yenye uzio, anafikiri kila mtu humu ni mshinda vijiweni kama yeye
Kwahiyo wewe kushindwa kujenga nyumba nzuri kwa uzembe wako, nawengine wasijenge kwa juhudi zao? Ficha umbulula wako. Na usirudie kuja na mihemko yako ya kidarasa la kwanza hapa
Umeonaee! Jamaa kajitahidi kusema ukweli. Iptl inaweza kuwa na dharma nzuri lakini baadhi ya watumishi wa serikali wasiokuwa waaminifu wakachelewesha mchakato huo wa kushusha umeme. Ila Iptl ni wakupongezwa kwa hatua nzuri walofikia
Lakini sisi tutajitahidi kuwaelimisha tu, maana pengine siyokosa yao ni makosa ya uwezo wao mdogo wa kufiri na kujadili kwa hoja. Lakini Iptl ni suluhisho la matatizo ya watanzania waliowengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.